Ninamiliki zaidi ya TVHutaki kupata TV mkuu?
Yaan ndio nilikua naandika business plan ya home appliances hafu watu mnasema wanapata kwenye maombiKama unataka uanze biashara ya electronics hata usifikirie mkuu 😂
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Wakuu,
Kawe leo kumezidi kupamba moto
Kama hauna TV usijali, cha msingi nenda kapate maombi ya Mwamposa ili upate vifaa vyako hivyo.
Samsung, LG na Hisense soon zinaenda kuwa out of business maana sasa hivi ukigusa tu kidogo TV unapata
Naomba nisiongee sana nsije kuharibu
=========================================
View attachment 3176093
HayajakukutaMtu yeyote anae amini dini namuona loser
Na hayatokaa yanikuteHayajakukuta