Ack
Member
- Dec 21, 2016
- 88
- 87
Mashabiki wa Diamond platnumz hawataki mahusiano yao na zari yaishe, Hii imethihirika baada ya mashabiki wa diamond kumuombea msamaha kwa zari alipokua GSM mall.
Lakini naona kama Zari alionyesha kukataa kutoa msamaha, Pia inawezekana baadhi ya mashabiki ni wanafiki Inawezekana wanataka wamuumize hamisa na nahisi saizi hamisa anapumulia mipira kwa zari alichokifanya
Angalia hapa mashabiki wa Diamond wakimuombea msamaha kwa zari the boss lady
Lakini naona kama Zari alionyesha kukataa kutoa msamaha, Pia inawezekana baadhi ya mashabiki ni wanafiki Inawezekana wanataka wamuumize hamisa na nahisi saizi hamisa anapumulia mipira kwa zari alichokifanya
Angalia hapa mashabiki wa Diamond wakimuombea msamaha kwa zari the boss lady