Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Halafu wanakwambia eti Injinia kavaa jeziAliyewaita Mbumbumbu hakukosea! Tuwaone sasa na kwenye mechi ijayo dhidi ya timu yao, wawashangilie tena hao Waarabu.
Sasa hiyo abiola kap Ina umuhimu ganiNatafuta video ya mwaka 1993 utopolo wakiwashangilia Stella Abdjan ya ivory coast kwenye fainali ya Caf Tena walikuwa wakiomba uzalendo umetushinda.
Halafu utanitafutia ya nyuma ya 93 kuonyesha Simba ilikuwa ikishangilia wageni.
Walioimba uzalendo umetushinda 1993 walikuwa mashabiki wa Timu Gani vile!? Shida umezaliwa 2005.Hii Yanga ya Manji 2016 Wachambuzi wengi walikuwa Bado vijijini kwao. Wengine walikuwa Bado wako shuleni. Wanaamini kwamba Yanga ndo iliyoanza kushangilia wageni. Hata Ahmed Ally anasema Uwekezaji ameanza Mo Dewji. Kipindi hicho manji anapiga game hizi Mo Yuko Mbagala na Africa Lyons.
Tunaomba video ya hiyo abiolaWalioimba uzalendo umetushinda 1993 walikuwa mashabiki wa Timu Gani vile!? Shida umezaliwa 2005.
Kama hukuwahi kumuona Babu Yako upande wa Baba haimaanishi hakuwahi kuwepo, ni vile TU wewe hukumkuta.Tunaomba video ya hiyo abiola
Ila wenzetu Wana fuu kidogo , sisi imepitiliza....! Nafikiri Ile Mechi ya Simba na Stella Ndio iliasisi au kukuza ulimbikeni huu! Hata shoboza Haji Manara.. akiwa Simba , wakati yYanga ikichechemea ziliwapa hasira Wanayanga.Namshangaa Waziri Mbumbumbu aliyetangaza uzalendo kwenye ushabiki wa vilabu. Haupo dunia nzima. Si Kwa Liver na Man U, Madrid na Barca, Bayern na Dort hata Simba na Yanga haiwezekani.
Wewe mkenya utajuaje we kashabikie luo na abaluyaSasa hiyo abiola kap Ina umuhimu gani
Wewe ndio kizazi kilichoshawishiwa na Manara kushabikia mpira,hiyo 2016 Yanga iliishia hatua gani?Mo ndiye aliyekuwa mfadhili wa Simba mwaka 2003 wakati Simba inacheza makundi kwa kuitoa Zamalek,Hiyo MetL ndiyo Mohammed Enterprises Ltd.Wakati huo Manji anauza ngoziHii Yanga ya Manji 2016 Wachambuzi wengi walikuwa Bado vijijini kwao. Wengine walikuwa Bado wako shuleni. Wanaamini kwamba Yanga ndo iliyoanza kushangilia wageni. Hata Ahmed Ally anasema Uwekezaji ameanza Mo Dewji. Kipindi hicho manji anapiga game hizi Mo Yuko Mbagala na Africa Lyons.
Manara amewaharibu sana nyie vijana,kombe lenyewe ndio hili na hapo ni Uwanja wa Taifa(sasa Uhuru) mwaka 1993,onesha sehemu ilipoandikwa Abiola CupSasa hiyo abiola kap Ina umuhimu gani
Mimi natafuta ya miaka ya 70 kipindi kile Yanga kaingia robo nakumbuka ....... ndio alitafuta wasanii wa kutunga nyimbo kuinanga Yanga. Ngoja niipateNatafuta video ya mwaka 1993 utopolo wakiwashangilia Stella Abdjan ya ivory coast kwenye fainali ya Caf Tena walikuwa wakiomba uzalendo umetushinda.
Halafu utanitafutia ya nyuma ya 93 kuonyesha Simba ilikuwa ikishangilia wageni.
Rais vs MASHABIKI ww unaona ni sawa.Halafu wanakwambia eti Injinia kavaa jezi
Weka na ya airport ambayo mashabiki wa simba wameenda kuwapokea wageni yaani mnataka muhalalishe uovu kwa upuuzi wenu.Hii Yanga ya Manji 2016 Wachambuzi wengi walikuwa Bado vijijini kwao. Wengine walikuwa Bado wako shuleni. Wanaamini kwamba Yanga ndo iliyoanza kushangilia wageni. Hata Ahmed Ally anasema Uwekezaji ameanza Mo Dewji. Kipindi hicho manji anapiga game hizi Mo Yuko Mbagala na Africa Lyons.