pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Hao mbona ni mashabiki wa Al Ahly kabisa na style yao ya kuwasha miotoHii Yanga ya Manji 2016 Wachambuzi wengi walikuwa Bado vijijini kwao. Wengine walikuwa Bado wako shuleni. Wanaamini kwamba Yanga ndo iliyoanza kushangilia wageni. Hata Ahmed Ally anasema Uwekezaji ameanza Mo Dewji. Kipindi hicho manji anapiga game hizi Mo Yuko Mbagala na Africa Lyons.
Hata Luc Eymael kuwaita Manyani hakukosea siyo?Aliyewaita Mbumbumbu hakukosea! Tuwaone sasa na kwenye mechi ijayo dhidi ya timu yao, wawashangilie tena hao Waarabu.
HOJA zimekushinda unakazana na makabila na matusi Kwa kuwa unatumia fake id sawaMods naomba ruhusa ya kumtukana Gordian Anduru kutoka Ujaluoni huko. Maana analeta mada za kichoko zinazopotosha historia ya Yanga kuwashangilia wapinzani wa Simba ilianza lini hasa.
Kuna wakati Mods mnatuonea sana kwa kutupiga ban pale tunapowatukana inavyostahili wajinga wajinga kama huyu kenge.
Kama hamtaki nifanye hivi basi wekeni mizania sawa kule kwenye Fact Check ili huu ipotoshaji usiendelee.
Wewe mama unakera sana kwa upotoshaji wako wa ukweli. Unajua fika kile wapuuzi wenzako kutoka Jangwani walivyoishabikia Stella Abdjan mwaka 1993, halafu unaibuka tena kuuliza swali la kis**** kwamba "Kwani hilo nalo lilikuwa kombe?".HOJA zimekushinda unakazana na makabila na matusi Kwa kuwa unatumia fake id sawa
Ukimtukana unamuonea tu,huyu ni kizazi kilichoanza kuupenda mpira baada ya kushawishiwa na Manara hivyo wanaamini kila kitu Manara anachosemaWewe mama unakera sana kwa upotoshaji wako wa ukweli. Unajua fika kile wapuuzi wenzako kutoka Jangwani walivyoishabikia Stella Abdjan mwaka 1993, halafu unaibuka tena kuuliza swali la kis**** kwamba "Kwani hilo nalo lilikuwa kombe?".
Mhe.Rais anajua mna upumbavu wa kutaka kuipindisha historia, ndo maana akawakumbusha pale Ikulu, kwamba nyinyi siyo klabu ya kwanza kutoka Tanzania kucheza fainali ya Shirikisho. Na ni huu upotoshaji wenu (na mwingine mwingi) ndo unafanya nitake kukutukana.
Kudos broo. Hawa vijana sijui ni kwanini hawawezi kubalance mambo kwa kutafuta vyanzo vingine vya taarifa?Ukimtukana unamuonea tu,huyu ni kizazi kilichoanza kuupenda mpira baada ya kushawishiwa na Manara hivyo wanaamini kila kitu Manara anachosema
Ikulu mlienda kufuata Nini nyie makolo, fainali aingie Yanga nyie muanze kuja kuwahi mbele mbele na akina Oruma wenu na Saleh Jembe na Bin KachumbariWewe mama unakera sana kwa upotoshaji wako wa ukweli. Unajua fika kile wapuuzi wenzako kutoka Jangwani walivyoishabikia Stella Abdjan mwaka 1993, halafu unaibuka tena kuuliza swali la kis**** kwamba "Kwani hilo nalo lilikuwa kombe?".
Mhe.Rais anajua mna upumbavu wa kutaka kuipindisha historia, ndo maana akawakumbusha pale Ikulu, kwamba nyinyi siyo klabu ya kwanza kutoka Tanzania kucheza fainali ya Shirikisho. Na ni huu upotoshaji wenu (na mwingine mwingi) ndo unafanya nitake kukutukana.
Ulikuwa na miaka mingapi kipindi hiki?Natafuta video ya mwaka 1993 utopolo wakiwashangilia Stella Abdjan ya ivory coast kwenye fainali ya Caf Tena walikuwa wakiomba uzalendo umetushinda.
Halafu utanitafutia ya nyuma ya 93 kuonyesha Simba ilikuwa ikishangilia wageni.
Tabia ya UTO kuto kujaza uwanja haijaanza leoHii Yanga ya Manji 2016 Wachambuzi wengi walikuwa Bado vijijini kwao. Wengine walikuwa Bado wako shuleni. Wanaamini kwamba Yanga ndo iliyoanza kushangilia wageni. Hata Ahmed Ally anasema Uwekezaji ameanza Mo Dewji. Kipindi hicho manji anapiga game hizi Mo Yuko Mbagala na Africa Lyons.
Wewe ndio ujiulize ulikuwa na miaka mingapi , maana una kiherehere cha kujibu kitu usichokijua.Ulikuwa na miaka mingapi kipindi hiki?
Huo ujinga ulikuwa haujaanza bado. Makolo mlianzisha tulieni muone mchezo unavyochezwa
93 bado baba yake hajamkojoaNatafuta video ya mwaka 1993 utopolo wakiwashangilia Stella Abdjan ya ivory coast kwenye fainali ya Caf Tena walikuwa wakiomba uzalendo umetushinda.
Halafu utanitafutia ya nyuma ya 93 kuonyesha Simba ilikuwa ikishangilia wageni.
Unatoa dog.Ikulu mlienda kufuata Nini nyie makolo, fainali aingie Yanga nyie muanze kuja kuwahi mbele mbele na akina Oruma wenu na Saleh Jembe na Bin Kachumbari
Hii Yanga ya Manji 2016 Wachambuzi wengi walikuwa Bado vijijini kwao. Wengine walikuwa Bado wako shuleni. Wanaamini kwamba Yanga ndo iliyoanza kushangilia wageni. Hata Ahmed Ally anasema Uwekezaji ameanza Mo Dewji. Kipindi hicho manji anapiga game hizi Mo Yuko Mbagala na Africa Lyons.
Hivi kumbe Manji alikuwa mwekezaji pale Yanga? Kwa hisa za asilimia ngapi? Zilikuwa na thamani ya sh. ngapi?Hata Ahmed Ally anasema Uwekezaji ameanza Mo Dewji. Kipindi hicho manji anapiga game hizi Mo Yuko Mbagala na Africa Lyons.
Kwani mwamedi ana hisa ngapi?Hivi kumbe Manji alikuwa mwekezaji pale Yanga? Kwa hisa za asilimia ngapi? Zilikuwa na thamani ya sh. ngapi?
49%, it's very clear.Kwani mwamedi ana hisa ngapi?