Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio anamsumbua Bill Lugano kunywa hennessy
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani huyo?Yule tajiri wa mafuta wa Morogoro kwani bado yupo?
Nani kakwambia sitafuti?Tafuta hela usianze sikitika kuhusu matanuzi ya mwanaume mwenzako
Unaumizwa na matumizi ya mwanamume mwenzio? Mbuzi weee, mind your own business, acha chuki na husda, katafute pesa ule rahaNauliza tu yuko Qatar kikazi ama kuponda raha? Na nani anagharamikia hizi anasa? Isije kuwa tu ni kodi zetu.
https://www.facebook.com/
Duh....Nauliza tu yuko Qatar kikazi ama kuponda raha? Na nani anagharamikia hizi anasa? Isije kuwa tu ni kodi zetu.
https://www.facebook.com/
Lini aanze kutumia kodi zetu?Nauliza tu yuko Qatar kikazi ama kuponda raha? Na nani anagharamikia hizi anasa? Isije kuwa tu ni kodi zetu.
https://www.facebook.com/
Yule tajiri wa mafuta wa Morogoro kwani bado yupo? HUYO TAJIRI NA SAFARI YA KITE ZINAHUSIANAJE?
Inabidi atulie ama apunguziwe kasi anaenda mbio sana.Lini aanze kutumia kodi zetu?
Wazee wa ubuyu mpo vyedi sana
Wenzake wakiwa viwanja wana weka na picha za ushahidi,huyu kiduku lilo sjui lugano ye kazi kuandika magazeti marefu tu kujisifuNdio anamsumbua Bill Lugano kunywa hennessy
Haaa haaaa Acha kumwonea wivu bana,Wenzake wakiwa viwanja wana weka na picha za ushahidi,huyu kiduku lilo sjui lugano ye kazi kuandika magazeti marefu tu kujisifu
Tajir njozi
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio anamsumbua Bill Lugano kunywa hennessy