Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Haya sio mapenzi
Haya ni mahaba
Haya ni mahaba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukijiheshimu watu watakuheshimu pia.....Kwanini heshima asijipe mwenyewe....hivi mnataka heshima gani zaid apewe?Huyo mbunge lengo lake ilikuwa ni kutia msisitizo kwa serikal kujal wasanii,its true Diamond kaitangaza sana Tanzania Duniani pengne kuliko msanii yeyote au mwanamichezo yeyote kwa kipindi hiki,sasa kwann Tanzania isimpe heshima..hivi mlishawahi kujiuliza Diamond ametuingizia pesa ngapi za kigeni kupitia show zake za nje,je ulishawahi kujiuliza kupitia kwa kampuni yake ya WASAFI ametoa ajira wa vijana wangapi?