MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mama anataka majibu, anasema taifa lote lilisimamisha shughuli kupokea ndege kwa mbwembwe, sasa imekua leo hiki kesho kile, kwamba inatumia hela nyingi sana kuidumisha zaidi ya inachoingiza, na sasa haijuikani iliko, mara imeuzwa Kenya, mara inapakwa rangi, mara inabeba nyama....awa mkali na uchungu mwingi...