Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mh Joseph Mbilinyi leo amekabidhi vifaa vya kisasa vya michezo kwa timu za soka jimboni kwake
Kwa awamu ya kwanza timu zilizonufaika ni pamoja na:
1. Airport Rangers (Kata ya Iyela)
2. Stone fire (Maaga)
3. Iganzo fema club (Iganzo)
4. Iwambi FC (Iwambi)
5. Iyunga boys (Iyunga)
6. Itende FC (Itende)
7. Itende boys (Itende)
Kwa awamu ya kwanza timu zilizonufaika ni pamoja na:
1. Airport Rangers (Kata ya Iyela)
2. Stone fire (Maaga)
3. Iganzo fema club (Iganzo)
4. Iwambi FC (Iwambi)
5. Iyunga boys (Iyunga)
6. Itende FC (Itende)
7. Itende boys (Itende)