Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa kweli hivi vifaa vitachechemua sana Tulia Akson Cup, mashindano sasa yatakuwa na msisimko mkubwa, jezi zikienea, watagawa njumu.
Mpaka kufikia uchaguzi, wana Mbeya watafaidi sana.
P
Kwani Tulia ni wa mbeya mjini? Mbona wenyeji wanasema hawamtambui.Kwa kweli hivi vifaa vitachechemua sana Tulia Akson Cup, mashindano sasa yatakuwa na msisimko mkubwa, jezi zikienea, watagawa njumu.
Mpaka kufikia uchaguzi, wana Mbeya watafaidi sana.
P
Sema wewe , nikisema mimi watasema nina kiherehereKwani Tulia ni wa mbeya mjini? Mbona wenyeji wanasema hawamtambui.
Labda Sugu vs PolisiSugu vs Tulia....
Naona sasa ndio muda wa kuzikumbuka kata zilizokuwa zimesahaulika!!!
Sugu karibu Itende ujionee barabara mbovu kuliko zote ndani. Ya jimbo!
Uliahidi utaweka lami. Mpaka bible[emoji54][emoji54][emoji54]ahadi yako imepaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona sasa ndio muda wa kuzikumbuka kata zilizokuwa zimesahaulika!!!
Sugu karibu Itende ujionee barabara mbovu kuliko zote ndani. Ya jimbo!
Uliahidi utaweka lami. Mpaka bibleahadi yako imepaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta !Kwenye Red kajifunze Majukumu ya Mbunge ni yapi Mkuu.
Tuna ulizia zile Millioni 50 kila Kijiji kutoka kwa Mh Rais wetu mpendwa ,muda unapita sasa na anakuja tena kwa Wananchi.Sugu ameliulizia sana hili Bungeni.
Kwa kweli hivi vifaa vitachechemua sana Tulia Akson Cup, mashindano sasa yatakuwa na msisimko mkubwa, jezi zikienea, watagawa njumu.
Mpaka kufikia uchaguzi, wana Mbeya watafaidi sana.
P
Hoja yako ni nini hasa ?Baada ya Meya na Baadhi ya madiwani wa Jimbo la Mbeya kutimkia CCM, Mh. Sugu ameanza kutambua nguvu na harakati za Dr. Betina kulibeba Jimbo. Naona nae ameanza kampeni za kiccm, kugawa jezi. Kesho akakutane na wamama wa Vikoba, awape mikopo. Namshauri azidi kupuuza ushauri wa akina Erythrocyte wanaomuaminisha kuwa hakuna mwingine kama yeye Mbeya. Akumbuke Kuna mwanamke mwenye sura na karba za uanaume ambaye amejiapiza kulichukua Jimbo. Lazma Sugu agangamale.
Ili mtu kuwa Mbunge wa mahali fulani ni lazima uwe wa hapo?.Kwani Tulia ni wa mbeya mjini? Mbona wenyeji wanasema hawamtambui.
Wanafaidi mno,mshindi anajulikana na atakayepewa ushindi anajulikana,kazi kwao watakaokwenda kupanga foleniKwa kweli hivi vifaa vitachechemua sana Tulia Akson Cup, mashindano sasa yatakuwa na msisimko mkubwa, jezi zikienea, watagawa njumu.
Mpaka kufikia uchaguzi, wana Mbeya watafaidi sana.
P
Hata hatujui kwao maana maumbo kama yale sio ya kwetuKwani Tulia ni wa mbeya mjini? Mbona wenyeji wanasema hawamtambui.