Masinema ya diamond kuzaa na wanawake mbali mbali yameendelea kutuvuruga wapenda ubuyu, jana alijitokeza mwanamke mmoja mburundi akisema amezaa na diamond watoto mapacha wa kike, mwanamke huyo anajiita honey jesca kwenye instagram, cha ajabu leo kajitokeza mwingine anajiita honey jesca na kukana kuzaa na mondi, yeye anasema yule mwingine anatumia picha zake kumvuruga mondi ahahaah tizama hapa
Warundi tangu zamani wanajua Swahili, wao na Kigoma sio mbali sana so wanajichanganya sana na WaTZ, hivi unajua Burundi kulikuwa mpka na kikundi cha Taarab?, unamjua au unamkumbuka Malika?