DOKEZO Video: Mdada wa Kinondoni aliyeenda kufanya kazi za ndani Iraq afichiwa passport na mwajiriwa wake. Anyimwa chakula na kupitia mateso

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
"Hakika Mwenyezi Mungu anaamrisha uadilifu, na kufanya wema, na kuwapa jamaa (haki zao), na anakataza machafu, na munkari, na dhuluma. Anakuwaidhini ili mpate kukumbuka."
— Qur'an 16:90
Unashabikia CCM!
 
Hawa watu bado waamini mtumishi wao ni mtumwa tu, ukiwa mweusi ndio kabisaa inakuwa issue.

Kuna ubalozi wa Tanzania hapo Kuwait, watumiwe hiyo clip wawasiliane na Serikali ya Iraq taratibu nyingine zifanyike.

Umasikini ni kitu kibaya sana.
 
Magu alipiga pin hakuna visa ya kwenda kufanya hizi kazi mpaka uwe na mkataba wa kueleweka wakamwona mbaya.
 
📌📌📌Alienda kimya kimya huko Uarabuni tena ukute alitoa na hongo ili apate kipaumbele🤗 basi na arudi kimyakimya.Hatutaki kelele tunamambo mengi ya kufanya🤝
 

Achukue ushauri huu kama kweli anataka kirudi nchi ya CCm.
 
Mshahara wa dada wa KAZI hata mwenye elimu ya Masters bongo apati.
Mengine ni ajali kazini
Mkienda na hizi mentality kwasababu ya kukimbia umande.Yakiwakuta majambo msianze kurusha viclip kutaka huruma.

📌📌📌Mmechagua kuhustle then go f*ckn hustle like shit!!!
 
Ukiachana na arab slave mind watanzania. sio wachapakazi ni majitu mavivu na malalamishi.

Watanzania mda wote wanawaza kutoboa kwa zali.Hawaamini katika kuteseka kupata mafanikio.

Huyo rafiki wa ndugu yako alizani kwenda Iraq ni kwenda Kkoo😀😀😀.

📌📌📌Kama mtu ameshindwa kujimake katika hii nchi isiyo na mifumo imara na iliyo na kila kitu chances za kujimake nchi za watu zilizo na mifumo ni ngumu sana.
 
Dini ya haki inamuona Mwarabu NDIYE kiumbe pekee wa mola, nyie wengine simbilisi tu
 
Yaani utoke Tanzania ukafanye kazi Iraq,Iran, Afghanistan?
Kazi Gani hiyo yenye thamani wakupe ambayo huo mshahara bongo haupo?
📌📌📌Ni upotevu wa muda na kundi danganyika ni wale wanzangu na mie waliokimbia UMANDE!!!
 
Anaitwa fatma ina maana hao ndi ndugu zake katika imaan

Lakini bado wanamnyanyasa, mkiambiwa hiyo dini ya kuvaa kobazi ni empty set na vurugu hamtaki kuelewa
📌📌Dini zote ni UJINGA na tool ya kuwafanya watu wawe watii.
 
As long as muslims to muslims we dont care
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…