Naam, umeniità?Huu ni uzushi wa Makafir tu, ndugu zangu FaizaFoxy Mohamed Said ni Mashahidi Waislam hawawezi kufanya haya
Unashabikia CCM!"Hakika Mwenyezi Mungu anaamrisha uadilifu, na kufanya wema, na kuwapa jamaa (haki zao), na anakataza machafu, na munkari, na dhuluma. Anakuwaidhini ili mpate kukumbuka."
— Qur'an 16:90
Tatizo niniUnashabikia CCM!
Waarabu Iraq wamemshikilia Mtanzania mwenzetu mweusi matekaTatizo nini
Sababu hajalishwa hivi vinavyoitwa vitabu vitakatifuMzungu ndiye race bora kuliko zote hapa duniani
Zuber MtemvuKuna kiongozi wa CCM Mkoa wa Dar miaka fulani hii ndio ilikua biashara yake ya kuwasafirisha binadamu, alikua akiifanya yeye na Mke wake. Nimemsahau jina ila thread iko humu ndani
Hatuna ubalozi Iraq, lakini anaweza kupata msaada toka ubalozi wa Uingereza. Maadam yeye ni Mwananchi wa Tanzania ambayo ni Nchi mwanachama wa Commonwealth na UK ndiye Kiranja wake, ni rahisi kupata msaada. Ushahidi upo watu wamesaidiwa kurudi Tanzania kupitia UK Embassy.
Mkienda na hizi mentality kwasababu ya kukimbia umande.Yakiwakuta majambo msianze kurusha viclip kutaka huruma.Mshahara wa dada wa KAZI hata mwenye elimu ya Masters bongo apati.
Mengine ni ajali kazini
Ukiachana na arab slave mind watanzania. sio wachapakazi ni majitu mavivu na malalamishi.Wakati mwingine ni ngumu kuwaelewa Watanzania.... Mwaka 2022 kuna binti anafahamiana na mdogo wangu wa kike, siku moja kama home, anamwambia mdogo wangu maisha ya Tanzania yamemshinda anaenda Iraq kufanya kazi!
Nikajaribu kuongea nae, huko kuna slavery , sio kazi za kawaida! Akakaza shingo, baada ya kama wiki naambiwa kaacha mizigo yake home, safari Iraq. Baada ya mwezi tu, kaanza kumsumbua mdogo wangu, anataka kurudi home sijui kalikwenda kakarudi. Boss kamwambia, kama unataka kurudi kwanza ulipe gharama, usd 6,000 anazitoa wapi! Ndugu zake hoe hae.
Watu wa Arab countries kwa ujumla wanamuona mtu mweusi kuwa sio binadamu! Ni bora ukutane na mzungu wa hovyo kabisa kuliko watu wa Arab countries. Wapo waliorushwa ghorofani wakafa, wapo waliofanyishwa mapenzi na mbwa.
Unaenda Iraq kutafuta maisha? Like, seriously?
Dini ya haki inamuona Mwarabu NDIYE kiumbe pekee wa mola, nyie wengine simbilisi tuWakuu,
Mtanzania mwenye umri wa miaka 33, Fatma Nassoro anapitia mateso makubwa akiwa nchini Iraq, ambako alienda kufanya kazi tangu mwaka 2022. Fatma amesema amekuwa akiishi katika mazingira magumu chini ya mwajiri wake, huku akinyimwa chakula, kupigwa mara kwa mara, kutukanwa, kubezwa, na hata kutemewa mate.
Juhudi zake za kutaka kurejea nyumbani zimegonga mwamba baada ya mwajiri wake kuficha pasipoti yake, akimzuia kuondoka. Mwaka jana, Fatma alipata msiba mzito baada ya kufiwa na mtoto wake, lakini alinyimwa ruhusa ya kurudi Tanzania kuhudhuria mazishi.
Kwa sasa, hali imezidi kuwa ngumu, huku afya ya mama yake ikiwa dhoofu, lakini bado ameshindwa kurudi kumwona. Fatma anasema Iraq haina ubalozi wa Tanzania, hali iliyomwacha bila msaada wa karibu wa kisheria au ulinzi.
Amebainisha kuwa anawasiliana kwa siri kupitia namba ya jirani wakati mwajiri wake hayupo, akitafuta msaada wa kurejea nyumbani. Fatma anatoa wito kwa mamlaka za Tanzania na mashirika ya haki za binadamu kumsaidia kurejea salama na kumaliza mateso anayopitia.
📌📌📌Ni upotevu wa muda na kundi danganyika ni wale wanzangu na mie waliokimbia UMANDE!!!Yaani utoke Tanzania ukafanye kazi Iraq,Iran, Afghanistan?
Kazi Gani hiyo yenye thamani wakupe ambayo huo mshahara bongo haupo?
📌📌Dini zote ni UJINGA na tool ya kuwafanya watu wawe watii.Anaitwa fatma ina maana hao ndi ndugu zake katika imaan
Lakini bado wanamnyanyasa, mkiambiwa hiyo dini ya kuvaa kobazi ni empty set na vurugu hamtaki kuelewa
Na muisilamu naye anaona mwqrabu ni bora kuliko😂😂😂Mzungu ndiye race bora kuliko zote hapa duniani
As long as muslims to muslims we dont careWakuu,
Mtanzania mwenye umri wa miaka 33, Fatma Nassoro anapitia mateso makubwa akiwa nchini Iraq, ambako alienda kufanya kazi tangu mwaka 2022. Fatma amesema amekuwa akiishi katika mazingira magumu chini ya mwajiri wake, huku akinyimwa chakula, kupigwa mara kwa mara, kutukanwa, kubezwa, na hata kutemewa mate.
Juhudi zake za kutaka kurejea nyumbani zimegonga mwamba baada ya mwajiri wake kuficha pasipoti yake, akimzuia kuondoka. Mwaka jana, Fatma alipata msiba mzito baada ya kufiwa na mtoto wake, lakini alinyimwa ruhusa ya kurudi Tanzania kuhudhuria mazishi.
Kwa sasa, hali imezidi kuwa ngumu, huku afya ya mama yake ikiwa dhoofu, lakini bado ameshindwa kurudi kumwona. Fatma anasema Iraq haina ubalozi wa Tanzania, hali iliyomwacha bila msaada wa karibu wa kisheria au ulinzi.
Amebainisha kuwa anawasiliana kwa siri kupitia namba ya jirani wakati mwajiri wake hayupo, akitafuta msaada wa kurejea nyumbani. Fatma anatoa wito kwa mamlaka za Tanzania na mashirika ya haki za binadamu kumsaidia kurejea salama na kumaliza mateso anayopitia.