physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Mtu kakufanyia gharama za kukusafirisha mpaka nchi nyingine,kwa ajili ya kazi,ujue na yeye pesa kaipata kwa tabu,hujamaliza hata mwezi,wataka ugharamiwe tena kurudi kwenu,kumbuka huyu pia anayekuajiri pesa kaipata kwa tabu,sasa,hapo MBWA ni wewe unayemtetea anayefanya makosa. .Ukitaka ufanye kazi nje ya nchi yako,uwe kama unakwenda vitani,kurudi nyuma mwiko.Na ulikwenda kwa hiyari yako,hukushikwa kwa nguvu.Warabu ni mbwa hapo usikute kuna mengi ya sirini hajasema maana jamaa wanafanyiaga ukatili wa kijinsia wadada wa kazi
Huu ndio ukweli.Halafu pia mtu umeamua ukafanye kazi,nje ya nchi,kwa uamuzi wako mwenyewe,na aliyekupa kazi,kalipa gharama za agenty na gharama za kukusafirisha,haifiki hata miezi sita,wataka urudishwe kwenu, huyu aliyekugharamia,pesa kaipata kwa tabu,hakuiokota.Ila ujue waKenya wapo huko kwa maeLfu na ni moja ya source ya kuipatia Nchi yao hela za kigeni;
Sikatai kuwa kuna watu wanateseka ambapo ni jambo baya sana (hatakama ni 1%) lakini ujue tu sio waarabu wote wabaya. Umefika DXB Airport siku za karibuni? niliona ni wakenya wamejaa huko karibia kila Idara ndio wanahudumia watu...pengine lugha inawabeba!
Nafikiri na sisi tubadilike tulenge kupeleka wafanyakazi na sio vibarua wa kazi za ndani.....
Asiyekuwa na maana ni wewe na huyu,aliyekubali kazi,asiyoiweza.Mtu akugharamie,pesa za agenty na pesa kukusafirisha,mpaka nje kwa kazi,halafu haifiki hata miezi sita,unataka urudi kwenu,sasa hapo shetani na mbwa ni nani,kama sio wewe unayemtetea na huyo anayetetewa.Huyu mwajiri,pesa hakuiokota.Arudishe pesa ya watu,iliyolipwa kwa agenty na pesa ya kumsafirisha,ili mwajiri atafute mfanyakazi mwingine.Mwarabu ni takataka wale mbwa koko
Mashetan Kiboko yao Israel na marekan fyeka fyeka yote hawana maana dunian
Nimekuelewa Bosssuala ni kwanini akafanye kazi za ndani ughaibuni wakati kazi hizo hata hapa nyumbani zipo! Ingekuwa kazi ya kisomo ujinga huo usingekuwepo,hivyo ni afadhali angeenda shamba akalime na angekuwa na vyake na amani tele kuliko huo ujinga wanaofanyiwa huko!
UKO SAHIHI KABISA , HATA WANAOTEMBEA NA DADA ZETU NI HATARI , MAANA DADA ZETU WANAVUMILIA MENGI MACHAFU SANA !!!!!Kila siku mnaambiwa waarabu sio watu hamuelewi...akome
Mkuu mwenye masters UDSM ni anapokea 2.8M, je dada wa kazi huko anapokea ngapi?Mshahara wa dada wa KAZI hata mwenye elimu ya Masters bongo apati.
Mengine ni ajali kazini
Hio ukitoa cost zote hakuna mwenye uwezo wa kusave laki TanoMkuu mwenye masters UDSM ni anapokea 2.8M, je dada wa kazi huko anapokea ngapi?
hapo ni suala la wananchi wenyewe kujiepusha na kuacha kwenda kufanya kazi za ndani huko na nyingine zifananazo na hizo kwani zinapelekea udhalilishaji na utwezaji wa utu! fikiria kila taifa Lina vijana sasa mbona hizo kazi waasiajiri vijana wao wanakuja kuchukua vijana huku! ila kwa kazi za kisomo zinaheshimiwa .Kuna taasisi za kidini huwa zinasaidia watu kwenda kufanya kazi huko Mashariki ya kati. Ziingilie kati na kumsaidia huyu dada.
Hapo chacha😅Ukiwa Kweli Na Uchungu Wa Kulia Kwa Jambo Lolote Linalokusibu Na Kukusikitisha Unapata Wapi Nguvu Ya Kujirekodi??Na %Kubwa Huwaga Jinsia Ke Wanayaweza Sana Haya Maigizo Ya Kidigitali,,,Teknolojia Ni Ya Kuwa Nayo Makini Mnoo Mengi Ni Fake.