physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Mtu kakufanyia gharama za kukusafirisha mpaka nchi nyingine,kwa ajili ya kazi,ujue na yeye pesa kaipata kwa tabu,hujamaliza hata mwezi,wataka ugharamiwe tena kurudi kwenu,kumbuka huyu pia anayekuajiri pesa kaipata kwa tabu,sasa,hapo MBWA ni wewe unayemtetea anayefanya makosa. .Ukitaka ufanye kazi nje ya nchi yako,uwe kama unakwenda vitani,kurudi nyuma mwiko.Na ulikwenda kwa hiyari yako,hukushikwa kwa nguvu.Warabu ni mbwa hapo usikute kuna mengi ya sirini hajasema maana jamaa wanafanyiaga ukatili wa kijinsia wadada wa kazi