DOKEZO Video: Mdada wa Kinondoni aliyeenda kufanya kazi za ndani Iraq afichiwa passport na mwajiriwa wake. Anyimwa chakula na kupitia mateso

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wakati mwingine ni ngumu kuwaelewa Watanzania.... Mwaka 2022 kuna binti anafahamiana na mdogo wangu wa kike, siku moja kama home, anamwambia mdogo wangu maisha ya Tanzania yamemshinda anaenda Iraq kufanya kazi!

Nikajaribu kuongea nae, huko kuna slavery , sio kazi za kawaida! Akakaza shingo, baada ya kama wiki naambiwa kaacha mizigo yake home, safari Iraq. Baada ya mwezi tu, kaanza kumsumbua mdogo wangu, anataka kurudi home sijui kalikwenda kakarudi. Boss kamwambia, kama unataka kurudi kwanza ulipe gharama, usd 6,000 anazitoa wapi! Ndugu zake hoe hae.

Watu wa Arab countries kwa ujumla wanamuona mtu mweusi kuwa sio binadamu! Ni bora ukutane na mzungu wa hovyo kabisa kuliko watu wa Arab countries. Wapo waliorushwa ghorofani wakafa, wapo waliofanyishwa mapenzi na mbwa.
 
huyu atakuwa amepeleka uswahili kwenye kazi za watu (ubishi na ujuaji) ndio wameamua kumnyoosha sasa anaanza kusumbua watu!
 
Waarabu hata wa kwetu Tanzania ni wabaguzi sn... kwanza ni vigumu sana kumkuta binti wa kiarabu ameolewa na ngozi nyeusi ila ni rahisi mno mwafrika kumuoa Mzungu... Popote walipo Waarabu sio watu Wazuri...
 
Acha chuki na wale wanaoteswa hapa hapa bongo na wakinamama waliokosa malezi hao ni waarabu nao.
Huyo bahati mbaya tu kaangukia kwenye sufuria la uji.
Tabia hazina uhusiano na race
Lakini uarabuni wamezidi hata walioenda wakirudi huwa hawatamani tena kurudi kule
 
Sasa unalia nini? hizo ndio ajira mlizotafutiwa na mama yenu kigulu na njia mnaedai anaupiga mwingi
Huyu mwajiri mbona malaika je ungekutana na Chemical Ali?
 
Kuna taasisi za kidini huwa zinasaidia watu kwenda kufanya kazi huko Mashariki ya kati. Ziingilie kati na kumsaidia huyu dada.
 
Najua inaweza isilipe kisiasa ila kibinadamu ni mzuri, viongozi wamsaidie huyo binti. Najua hamshindwi kimsusa tu.
 
Nchi za kiislamu zote siyo za kuishi. Ukiwaambia watu wanasema ni ndugu zao
Apambane nao
 
Duh! watu wanafika hadi Iraq?

Kuna kile kitengo cha UN kinaitwa IMO kama sikosei, kipo karibu kila nchi, huwa pia wanasafiriaha raia kurudi katika mataifa yao.

Angeweza kufika katika ofisi zao angepata msaada.
IOM
 
Yaani utoke Tanzania ukafanye kazi Iraq,Iran, Afghanistan?
Kazi Gani hiyo yenye thamani wakupe ambayo huo mshahara bongo haupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…