DOKEZO Video: Mdada wa Kinondoni aliyeenda kufanya kazi za ndani Iraq afichiwa passport na mwajiriwa wake. Anyimwa chakula na kupitia mateso

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Acha chuki na wale wanaoteswa hapa hapa bongo na wakinamama waliokosa malezi hao ni waarabu nao.
Huyo bahati mbaya tu kaangukia kwenye sufuria la uji.
Tabia hazina uhusiano na race

Acha kulamba makalio ya binadamu wenzako wewe masikini na mtumwa wa akili. Tabia na race ni mtu na dada sababu race ni kundi la watu linalo-share tamaduni.

Acha kuandika upuuzi na kutetea hao kima watumia vyoo.
 
Ukiwa Kweli Na Uchungu Wa Kulia Kwa Jambo Lolote Linalokusibu Na Kukusikitisha Unapata Wapi Nguvu Ya Kujirekodi??Na %Kubwa Huwaga Jinsia Ke Wanayaweza Sana Haya Maigizo Ya Kidigitali,,,Teknolojia Ni Ya Kuwa Nayo Makini Mnoo Mengi Ni Fake.
Hata kama ingekuwa fake, how ingebadirisha uhalisia? Au wewe ni mwarabu?
 
Waarabu hata wa kwetu Tanzania ni wabaguzi sn... kwanza ni vigumu sana kumkuta binti wa kiarabu ameolewa na ngozi nyeusi ila ni rahisi mno mwafrika kumuoa Mzungu... Popote walipo Waarabu sio watu Wazuri...

Wewe unafikiri kwanini wanabutuana na kujilipua? Hao viumbe race yao nzima ni mental, hakuna haja yoyote ya kuoana nao.
 
Mbona taarifa haitoshelezi?
Hakuna namba za simu wala mawasiliano yoyote.
Hapo ni kama yupo gerezani, amefungiwa na hao watesi wake.
Atasaidiwa kwa muujiza gani?!
 
Najua inaweza isilipe kisiasa ila kibinadamu ni mzuri, viongozi wamsaidie huyo binti. Najua hamshindwi kimsusa tu.
Yeah, sio bongo. Wamarekani wangemchukua ndugu yao, na kwa wanavyopenda sifa wangeshuka na CH-47 Chinook kabisa. Bahati nzuri huwezi kuta Mmarekani analilia kwenda Uarabuni unless ni military campaign.
 
Mbona waafrika walimuacha Gadaf anauwa pekee wamesaidia nini.
Tabia njema au nzuri haina race
Sababu hana uhusiano wowote na Waafrika. Na yeye angekuacha ufe vilevile, hell, gadaf angekuua kwa mikono yake mwenyewe personally. Narudia, wewe ni wa kukamatwa na kuhojiwa. Otherwise ni mwarabu.
 
Yeah, sio bongo. Wamarekani wangemchukua ndugu yao, na kwa wanavyopenda sifa wangeshuka na CH-47 Chinook kabisa. Bahati nzuri huwezi kuta Mmarekani analilia kwenda Uarabuni unless ni military campaign.
Huyu aeleze alipata kazi vipi huko?
 
Wapo waliojenga majumba ya kifahari,wapo walionunulia wazazi wao majumba.Wapo waliopata mitaji ya biashara.
 
Kujikuta matatani kwa wadada wa kazi inaweza kutokea hata ndani ya nchi Cha msingi wahanga kutafuta mbinu ya kufikisha taarifa kuomba msaada, maisha popote.
Acha kufananisha Iraq na ndani ya nchi aisee. Acha!!!
 
Nashangaa kwenda kufanya kazi za ndani Iraq kweli dada zetu ni majasiri sana hao wahuni wanawabaka watakavyo ndio maana wakitaka kuondoka wanafichiwa vitu ili nyama isiondoke maana kupata wafanyakazi tena sio rahisi..hakuna kazi huko zaidi ya kutoa nyama..
 
Anaitwa fatma ina maana hao ndi ndugu zake katika imaan

Lakini bado wanamnyanyasa, mkiambiwa hiyo dini ya kuvaa kobazi ni empty set na vurugu hamtaki kuelewa
Katika keso yoyote,lazima usikize pande zote mbili.Huko Iraq,pia wapo waarabu wakridto na pia wapo wasio na dini.Hata huyo sio muislamu,ni.jina tu,midlzmu mwanzmke hakai kichwa wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…