Video: Mfalme Emmanuel Okwi " Emmo Sting" kiboko ya Waarabu

Halafu tukaja kutolewa na Ahly Shandy siyo ?
 
Jamaa nasikia anapasha na timu, endapo aki click tu dirisha dogo anachukuliwarasmi astafie soka pale msimbazi
Okwi arudi tu kumrudisha Okwi Simba unakuwa umrudisha magoli yote aliyoondoka nayo Chama.
 
Halafu tukaja kutolewa na Ahly Shandy siyo ?
Enheee.....kwa penalty.
Nadhani kaseja ndio alikosa penalty ya mwisho.
Hakuna mechi iliniuma kama ile.
Bongo tulipiga mpira mwingi sana, tukashinda mbili bila. ( mafisango alikosa penalty zingekua tatu).
Nadhani ile Simba ya Kocha Milovan ndio ilikuwa hatari zaidi.
 
Ile game tulifanyiwa figisu nyingi sana kule Sudan aisee.
 
Ilikua 3-3 kwamatokeo ya jumla! simba akishinda 3 nyumban na ahly akashinda 3 nyumbani! nakumbuka wajina wangu petty magambo (mafisango) alikosa penalt pia.
 
Ilikua 3-3 kwamatokeo ya jumla! simba akishinda 3 nyumban na ahly akashinda 3 nyumbani! nakumbuka wajina wangu petty magambo (mafisango) alikosa penalt pia.
Simba walifanya logistics vibaya wakashukia mji wa Khartoum kwa maelekezo ya wageni wao kuwa kutoka Khartoum ni 52kms kumbe ni safari ya masaa zaidi ya nane kwenda mji wa Shandy.
Wakafika wamechoka na safari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…