Wajinga huwa hatujui mambo na tunajua kuwa hatujui ndio maana tunakimbilia shule kujielimisha. Lakini wapumbavu hawajui na hawajui kuwa hawajui hivyo hawoni umuhimu wa kwenda shule. Sasa huyu ni zwazwa msukule maana hajui na hajui kuwa hajui halafu anafikiri anajua