Video: Mgombea wa ubunge Bunda mjini kupitia CCM adai nchi ina wasomi sehemu mbili mbazo ni BoT na maabara kuu ambako kunatengenezwa dawa za binadamu

dikteta2020

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
595
Reaction score
3,991
Msikilize hapa
Your browser is not able to display this video.
 
Ndio anaenda kutunga sheria bungeni[emoji15]
 
maabara kuu ya taifa inatengeneza dawa wanazotumia ndio maana ccm iko kama "hoves"
 
Wajinga huwa hatujui mambo na tunajua kuwa hatujui ndio maana tunakimbilia shule kujielimisha. Lakini wapumbavu hawajui na hawajui kuwa hawajui hivyo hawoni umuhimu wa kwenda shule. Sasa huyu ni zwazwa msukule maana hajui na hajui kuwa hajui halafu anafikiri anajua
 
Kipwinto kabisa huyu.
Asilimia 99 ya dawa tunaagiza nje
 
duuh! ndio huyu anataka kwenda kuisimamia serikali na kutunga sheria??
wajumbe mlifeli sana kumuacha Mwanza Huduma bora hata ya wasira!!
ANYWAY NJIA NYEUPE KWA BULAYA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…