Video mpya: Sauti Sol - Kuliko Jana!

I think bdo wangewakuza hata zaid..hakuna band bora EA kama Sauti Soul, Yamoto hawaingii hata nusu
 
acha wivu kakaaa....!!

wanajuaaaaaaa...!!

kibongo bongo hapa tutasubiri sana tu!
 
Sikilizeni vocal za hatari, sio wabongo flavian wetu wanao imba flat, hawa jamaa wapo vizuri, yaani naamini hata umeme usipokuwepo wanapiga shoo kama kawaida

Nabii hakubaliki kwao mkuu, hebu angalia Diamond anavyojaza kumbi za huko kwao! Wakati huo huo sisi kila siku tunamponda
 
Hao jamaa wanajua sana,lakini hawatii maguu kwa Ya Moto band. Ngoja nisubiri mapovu.
 
Hao jamaa wanajua sana,lakini hawatii maguu kwa Ya Moto band. Ngoja nisubiri mapovu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]oy kifesi acha utani usiwafananishe kabisa hao sauti sol ni habari nyingine kabisa jaribu kupita huko youtube kwenye page yao uwone balaa lao!
 
Raimundo sikia, diamond platnumz anapondwa na wajinga wenye chuki ambao hawajui sababu gani wanamchukia diamond platnumz na inakuzwa tu, lkn hamna msanii anayependwa kama diamond platnumz kuanzia tz mpaka EA (endorsement alizokuwanazo zinaprove nguvu yake) na ndio maana MAPARASITE kutwa wanataka kujiattach kwake kwa kutengeneza beef, ila sauti sol ni watu wengine kabisa, ila sijajua kwa nn jamaa hawa kwao nao wanapondwa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]oy kifesi acha utani usiwafananishe kabisa hao sauti sol ni habari nyingine kabisa jaribu kupita huko youtube kwenye page yao uwone balaa lao!
Kuna balaa gani mkuu .....?
 
Nenda ukaone kazi zao kuna video zao na show zao walizofanya alafu uje utuletee maelezo unaweza kuwafananisha na hao uliowataja!
Basi poa,ila mimi kwa maono yangu Ya Moto band wako juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…