Video mpya ya Diamond iliyogharimu million 40...

huyo wa kunipiku ni nani wakati nilie karibu na diamond n mm info zote nazjua mapema..istoshe sifanyi hili kama kaz.napost tu huku kwa mapenz yangu ninapoona inafaa..kazi na majukum yangu kwake ni mengine kabisa

Upo karibu zaidi na diamond! habari zote unazipata mapema zaidi! unamapenzi naye ndio maana unaleta habari zake! kumbe unamajukumu na kazi kwake? sitaki kuconnect dots but with time tutajua tu..
 
Upo karibu zaidi na diamond! habari zote unazipata mapema zaidi! unamapenzi naye ndio maana unaleta habari zake! kumbe unamajukumu na kazi kwake? sitaki kuconnect dots but with time tutajua tu..

wtanzania jui huwa mnawaza nn aisee..u think diamond kaz zake za music najifanyia kila kitu mwwnyewe?hana wasaidiz alioajil kumlahisishia kazi zake?or inakuuma tu me kuajiliwa nae?
 

hii ni gari gani???au unamaanisha FERRARI???
 
huyo wa kunipiku ni nani wakati nilie karibu na diamond n mm info zote nazjua mapema..istoshe sifanyi hili kama kaz.napost tu huku kwa mapenz yangu ninapoona inafaa..kazi na majukum yangu kwake ni mengine kabisa

Ukiwa unadanganya uwe unakumbuka maana muongo huwa na kumbukumbu,,,ulishawahi kuja hapa nakusema jamaa anakulipa leo hii unasema eti kwa mapenzi yako. Kama hulipwi na huku unaendelea tu kuwa mpambe ujiangalie sana familia yako Final Uzeeni.
 
wtanzania jui huwa mnawaza nn aisee..u think diamond kaz zake za music najifanyia kila kitu mwwnyewe?hana wasaidiz alioajil kumlahisishia kazi zake?or inakuuma tu me kuajiliwa nae?


Mkuu mwanzo umerekebishwa jinsi ya kuandika naona unarudia tena au muda unaisha hapo Internet zimebaki dkk2?
 
da hiyo gari gani mkuu? LOL
 
Ukiwa unadanganya uwe unakumbuka maana muongo huwa na kumbukumbu,,,ulishawahi kuja hapa nakusema jamaa anakulipa leo hii unasema eti kwa mapenzi yako. Kama hulipwi na huku unaendelea tu kuwa mpambe ujiangalie sana familia yako Final Uzeeni.

we mbona unaongea ovyo ovyo tu.wasafi ni kmpuni na kaz pale ni nyingi hivyo nalipwa kwa kaz na majukum niliyonayo pale kupost kitu huku nafanya kwa mpenz yangu coz siwez acha kupost habari zinazohusu CEO wangu nipost habari za Ali kiba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…