Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,462
we mbona unaongea ovyo ovyo tu.wasafi ni kmpuni na kaz pale ni nyingi hivyo nalipwa kwa kaz na majukum niliyonayo pale kupost kitu huku nafanya kwa mpenz yangu coz siwez acha kupost habari zinazohusu CEO wangu nipost habari za Ali kiba...
we mbona unaongea ovyo ovyo tu.wasafi ni kmpuni na kaz pale ni nyingi hivyo nalipwa kwa kaz na majukum niliyonayo pale kupost kitu huku nafanya kwa mpenz yangu coz siwez acha kupost habari zinazohusu CEO wangu nipost habari za Ali kiba...
we mbona unaongea ovyo ovyo tu.wasafi ni kmpuni na kaz pale ni nyingi hivyo nalipwa kwa kaz na majukum niliyonayo pale kupost kitu huku nafanya kwa mpenz yangu coz siwez acha kupost habari zinazohusu CEO wangu nipost habari za Ali kiba...
Mbona mnamvamia mleta habari hivyo?!
Diamond lazima awe na wasaidizi na mshikaji kala shavu sio mbaya ila sasa naona hii kazi ya public relation haiwezi naomba angemuachia mwenye kazi yake aje ku-post humu yeye apost yake yanayomhusu kwa diamond...
Wengi wetu tumeajiriwa lakini hiyo haitufanyi kubadilika kijinsia dhidi ya mabosi wetu...kama mchizi ME ataendelea kuwa ME tu.
Big up Diamond japo i dont like your music na life style yako...
Unamaanisha Diamond ni CEO wako?
Ivi izi vudeo za ndege,ferrari,boat nk zinakidhi utamaduni wetu? Au ni kukopy na kupaste mambo ya umarekani? Naomba kuelimishwa
Acheni maneno ya kwenye kanga, mshikaji katupa habari mnachonga,,,,mngeandika Nyie basi wa kina YAHAYA...
vijana wengi wasio na kazi,wavivu na wasiopenda kujishughulisha wanapoona mtu ana position flan nzuri coments zao ndio kama nizionazo hapa..wivu tu badala hata uniulize ilikuwaje nikapata fursa ya kuajiliwa nae kama mmoja wa wasaidiz wake tena kwa masirahi makubwa we umekalia kuponda tu,noma sana.
hongera dogo!
Ila kama kila aliyeajiriwa atakuja kuweka masifa yake hapa kutakuwa hapatoshi
vijana wengi wasio na kazi,wavivu na wasiopenda kujishughulisha wanapoona mtu ana position flan nzuri coments zao ndio kama nizionazo hapa..wivu tu badala hata uniulize ilikuwaje nikapata fursa ya kuajiliwa nae kama mmoja wa wasaidiz wake tena kwa masirahi makubwa we umekalia kuponda tu,noma sana.