Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,462
we mbona unaongea ovyo ovyo tu.wasafi ni kmpuni na kaz pale ni nyingi hivyo nalipwa kwa kaz na majukum niliyonayo pale kupost kitu huku nafanya kwa mpenz yangu coz siwez acha kupost habari zinazohusu CEO wangu nipost habari za Ali kiba...
Hebu jifunze kuandika maneno kwa usahihi,umerekebishwa hapo nyuma lakini huelewi kabisa,usipende kukata maneno kama unatuma text message'