Video mpya ya rose muhando,ni balaa..

Video mpya ya rose muhando,ni balaa..

video nimeiona..

kwa analysis yangu, hii video ni low quality!! kama kweli imekuwa produced na huyo sony, basi nahisi amemuibia rose kwa kiwango fulani! ukichunguza, karibu nusu nzima ya video, imeshutiwa eneo moja tu, mavazi ni yale yale karibu robo tatu ya video, uchanganyaji wa picha nao ni wa kawaida sana!!!

kwa jinsi huyu sony pictures anavyosifiwa, sidhani kama video ilitakiwa kuonekana kwa jinsi nilivyoiona youtube.. la sivyo atoe sababu ya msingi iliyomfanya iwe hivi.. kama si ulipuaji wa kazi ni nini sasa!! kitendo cha kutumia vazi la aina moja kwa 90% ya video nzima, inakosesha sana ladha ya video kwa watazamaji wake.. abadilishe hilo tafadhali!

video kama hii sioni kama ina viwango hasa vya kutazamwa kimataifa..!! haina tofauti na video zilizoshutiwa na camera ndogo hizi za kupigia picha.. 14mp, 5x zoom..!

Wewe unadhani video nzuri ni ambayo imetumia locations nyingi, hadi uone mtu yupo kanisani,beach,nyumbani,mjini ndio ujue imetumia gharama, la hasha fungua macho. Na umetumia simu yako ya elfu 70 ndio maana umesema ni low quality njoo hapa uangalie hii video ikiwa ni HD kwenye smart tv samsung serie 5 ndio utagundua ubora wake na wewe upo nyuma kiasi gani. Sony videos ni sawa wamemuibia Rose ila sio kushindwa kutoa video nzuri.

Ngoja sisi tumuimbie bwana wololo wololo!! We baki na ubora wa video
 
video nimeiona..

kwa analysis yangu, hii video ni low quality!! kama kweli imekuwa produced na huyo sony, basi nahisi amemuibia rose kwa kiwango fulani! ukichunguza, karibu nusu nzima ya video, imeshutiwa eneo moja tu, mavazi ni yale yale karibu robo tatu ya video, uchanganyaji wa picha nao ni wa kawaida sana!!!

kwa jinsi huyu sony pictures anavyosifiwa, sidhani kama video ilitakiwa kuonekana kwa jinsi nilivyoiona youtube.. la sivyo atoe sababu ya msingi iliyomfanya iwe hivi.. kama si ulipuaji wa kazi ni nini sasa!! kitendo cha kutumia vazi la aina moja kwa 90% ya video nzima, inakosesha sana ladha ya video kwa watazamaji wake.. abadilishe hilo tafadhali!

video kama hii sioni kama ina viwango hasa vya kutazamwa kimataifa..!! haina tofauti na video zilizoshutiwa na camera ndogo hizi za kupigia picha.. 14mp, 5x zoom..!

A ngalia kwenye VEVO channel yake official kutoka sony itakuwa na quality zaidi ya youtube.

na VEVO Channel ni ya kimataifa zaidi Rose ni mwanamuziki wa kwanza E.Africa kuwa kutumia VEVO na kwa kitendo tu cha yeye kuweka wimbo pale automatically analipwa achilia mbali itunes, amazon na mauzo mengine
 
wewe unangalizia kwenye nokia ya torch nini?.kaimba vizuri na ujumbe unafika katika upako wake vzr.!
Ujumbe sawa nimeupata,na mauno ni ya kumwaga pia...

"Nlikuwepo":bolt:
 
A ngalia kwenye VEVO channel yake official kutoka sony itakuwa na quality zaidi ya youtube.

na VEVO Channel ni ya kimataifa zaidi Rose ni mwanamuziki wa kwanza E.Africa kuwa kutumia VEVO na kwa kitendo tu cha yeye kuweka wimbo pale automatically analipwa achilia mbali itunes, amazon na mauzo mengine

Vipi kuhusu na ile video ya ONE8 mkuu??

"Nlikuwepo":bolt:
 
Back
Top Bottom