Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chadema digital imenitoa ushambaMkuu je hiki ni chama kipya chasema!? Video nimeona lakini nimeuliza tu mods watabadirisha, mkuu una haraka mwishowe unakosea
Mzee baada jiwe kung'oka naanza kukuona, pole kwa yaliyokukutaMsilalamike tena kuwa hamna demekrasia wala uhuru wa habari.
Vikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na Chadema kama ada , hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki , ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021 .
Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko , jionee mwenyewe .
View attachment 1800682
Nyingine hii hapa
View attachment 1800687
Kwa tume hii ccm wataongoza mpaka mwisho wa duniaCDM gani ....hii hii iliyopoteza wabunge wake zaidi Ya 50 ? Unawaleta kwenye attention ambayo kwa sasa hawaistahili.acha Wapambane na hali yao...!
Na wametangaza kutoshiriki Uchaguzi 2025 ...! Hivyo Slope kwa CCM kama vile ilivyokuwa Uchaguzi Wa Serikali Za mtaa wa Wa Mwaka uleee ambao ndo Kifo Cha CDM kilipoanzia....!
Pole mimi au pole nyie?Mzee baada jiwe kung'oka naanza kukuona , pole kwa yaliyokukuta
Wewe ndio umeona hicho ulichosemaa??Msilalamike tena kuwa hamna demekrasia wala uhuru wa habari.
π π π π Hawa watu wanamsifia SSH kuwa kaanza vizuri huku wanakwapua.Pay master wa wizara ya fedha ambaye ni mchaga amekwapua zaidi ya billioni 1 ndani ya mwezi mmoja.
Yaan KWA mbwembwe tu hamjambo ...eti nae ana bodyguard...hhhh....halaf eti anakagua msafara...hhh....duniaMVikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na Chadema kama ada , hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki , ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021 .
Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko , jionee mwenyewe .
View attachment 1800682
Nyingine hii hapa
View attachment 1800687
Hutaki unaachaYaan KWA mbwembwe tu hamjambo ...eti nae ana bodyguard...hhhh....halaf eti anakagua msafara...hhh....dunia