BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Nina wasiwasi kama hiyo Jumatatu wataongea hawa na kama wataongea je, watakuwa tayari kusema ukweli kuhusu yaliyowakuta kuanzia walipotekwa mpaka walipoachiwa hiyo saa tisa za usiku. Ni akina nani waliowateka? Waliwapeleka wapi? sababu za kuwateka ni zipi? Na kwanini walichukua TV, camera na vifaa vyao vingine toka studio? Je vifaa vyao vimerudishwa vikiwa salama? Inasemekana mmoja wao message zake za whatsapp zilikuwa zinasomwa je, ni mhusika ndiye aliyekuwa anazisoma au wahuni waliowateka?
Movie inatengenezwa na wamepewa warning wasiongee chochote sasa hivi mpaka watakapolishwa maneno.