Umesahu kuwa yeye ni mungu wa DarYule Bashite lazima alikuwa anajua mchezo wote wa kutekwa akina Roma na hivyo kuwajua wahusika waliowateka na kujua waliwekwa wapi kipindi chote walichotekwa. Haiwezekani kabisa aseme watapatikana kabla ya Jumapili na kweli iwe hivyo.
Mkuu nimemtazama Roma kwenye hii video anaonekana anachechemea si yeye Amekutana na akina Ruge kama alivyomtaja pale akina Ruge si watu wa Kukurupuka mkuu kumbuka hata tukio la Kuvamiwa Kwa Clouds FM walivyochelewa kulimwagaSasa kama kapigwa sana na kuteswa mno huoni kama baada tu ya kutoka Mwananyamala ile kuzungumza tu na Wanahabari waliokuwepo pale ndiyo ilikuwa platform nzuri Kwake kutueleza ukweli wake wote hata kama ungemgharimu maisha yake? Kama tayari umeshateswa karibia na kuuwawa na sasa umeachwa na maumivu pamoja na majeraha kuna ubaya gani Wewe ukikubali kujitoa mhanga kwa kusema ukweli ili uwasaidie Watanzania mamilioni ili hata ukiuliwa basi huku nyuma utakuwa umetuachia kitu cha kukukumbuka Kizazi na Vizazi? Hapa ndipo ninapowapenda Waarabu na Wapalestina kwani wao uonevu na manyanyaso kama haya waliyofanyiwa akina Roma na wenzake kujitoa mhanga kwa kujilipua na kuteketeza kabisa ngome ya Makatili wao ni jambo la kawaida na hulipenda zaidi. Sasa nimeamini kuwa Africa hakuna tena ' Mashujaa '. Yaani umeteswa hadi unachechemea na unaingia katika Gari unainama katika Kiti huku ukiugulia machungu halafu unasema kuwa utaongea Jumatau? Nimemdharau mno Roma na kumbe kwa ubwege wake huu hawakukosea ' kumtesa '.
Baada ya kupatikana msanii Roma na wenzio wataongea rasmi siku ya jumatatu
Dah pole sijui na mimi nijiteke unililie ,Mara ya mwisho kuliliwa sijui ilikuwa mwaka ganiWhat the regional government is doing to these kids ain't right at all!!! I hope kunasiku wataumbuka oppenly kabisaaaaa!!! This is murder!!!! and the master mind of all these issues is there pretending to help!!! Kweli TU wajinga nimelia kiukweli!!! Kijana wawatu anaonekana kujikaza but ana internal demage!!!
Namshukuru Mungu kwa kuonekana kwao maaana huku mitaani maneno ya yalikuwa yamesha kuwa mengi kwa serikali. Mungu anaipenda serikali yetu. Hongera JPM kwa kuwa na wapelelezi walio bobea Mungu akubariki aminaa