Video: Mtalimbo Umelala umelala doro

Hana lolote mjasiliamali tu yule, angekuwa anampenda kweli angempatia mwenzake kijimimba, lakini jamaa yupo kimaslahi zaidi.


Kwa nini jamani? na wewe upo deep sana.
Burn muogope Mungu wako.Kuolewa/kuoa ni wajibu na kuzaa ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.Unajuaje kama wanataka mtoto lakni hawapati? Wewe una watoto shukuru Mungu lakini kuna wenzio wanashinda kanisani kwenye mikesha kuomba watoto na wengine kwa kina kalumanzila kutafuta watoto na bado ni ishu.
 
Du sio siri wimbo huu unanikonga moyo, nasubiriaga ijumaa kwa hamu nikacheze mtarimbo doro na ukinikuta nyuma ya mijimama na seketula utanitaka.

hahaaaa mpwa duh!!! hebu sema mtalimbo ni nini mpwa??
 
Hehehe! Wa Gadner! Nyie wanawake mna mafumbo sana! Gardner asivyoelewa utamkuta naye anaucheza kwa raha zake! Stuka Gadna!

mh mie maria magdalena ninyamaze hapo
 
Ni-PM nikueleze. Ila usiwe mwoga.

Nisiwe muoga....is the thing dangeraous in itself or when acted upon???

ndo sharti hilo? kwani invizibo kakataza kusema hapa hapa?
 
Nisiwe muoga....is the thing dangeraous in itself or when acted upon???

ndo sharti hilo? kwani invizibo kakataza kusema hapa hapa?

Vitu vingine unapaswa kuvijua kwa vitendo zaidi!
 
Hehehe! Wa Gadner! Nyie wanawake mna mafumbo sana! Gardner asivyoelewa utamkuta naye anaucheza kwa raha zake! Stuka Gadna!

kichekesho ni kwamba Gadner ndiye wa kwanza kabisaa kuucheza huu wimbo clodis efuemu!!! kwenye jahazi!!!
lakini jide si mjamzito sasa hivi?
 
kichekesho ni kwamba Gadner ndiye wa kwanza kabisaa kuucheza huu wimbo clodis efuemu!!! kwenye jahazi!!!
lakini jide si mjamzito sasa hivi?
Mh huku unakotaka kwenda bibie siko!! maana ishu ni maudhui ya wimbo sasa hizi personal details zitaleta hisia tofauti!
 
Mchumba na mimi nataka kuujua mtarimbo,kwani ndio kitu gani? au chakula?

menzangu huyu shemeji eti vituvingine vinatakiwa ujue kwa vitendo....atoe theory kwanz basi
 
kichekesho ni kwamba Gadner ndiye wa kwanza kabisaa kuucheza huu wimbo clodis efuemu!!! kwenye jahazi!!!
lakini jide si mjamzito sasa hivi?

Ujauzito aupatie wapi wakati mtarimbo umelala doro? Stuka mshiki!
 

Mkuu umenifumbua macho sana tu, mimi nilidhani ni ubunifu wa kijana kumbe na hii ni plajarizimu pyua.
 
Labda kuna jamaa alikuwa ana mpa mtinange baadaye mtinange ukagoma kufanya mcharuko! Si unajua yeye huimba visa vinavyomkuta kila kukicha
 
Ujauzito aupatie wapi wakati mtarimbo umelala doro? Stuka mshiki!
Tumekuuliza na bht kuwa huu mtalimbo ndio nini?konaball kasema ni chakula cha chiumeni,mie bado sijaelewa.Yani hiki chakula wanakula wanaume tu? hebu fafanueni jamani.
 
Tumekuuliza na bht kuwa huu mtalimbo ndio nini?konaball kasema ni chakula cha chiumeni,mie bado sijaelewa.Yani hiki chakula wanakula wanaume tu? hebu fafanueni jamani.

Mbona nshakujibu? Fuatilia uzi vizuri.
 
Mkuu umenifumbua macho sana tu, mimi nilidhani ni ubunifu wa kijana kumbe na hii ni plajarizimu pyua.

Sasa mbona umembania senksi mpwa? Ile ni kopi endi pesti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…