VIDEO: Muamuzi ligi daraja la kwanza akumbana na kipigo cha mbwa mwizi

Safi sana! !!!! Wanaua mpira kwa njaa zao mbwa haooo!!
 
Hizo ndo zinahusika mkuu


Hapa wachezaji wa Yanga wakimshambulia Israel Mkongo

Bondia wa Yanga akilia baada ya kuzuiliwa asiendelee kumpiga refa
CC Dragoon, na wanazi wa yanga zoezi la kupiga marefa ambalo mwalimu ni Yanga Simba bado hatujaona kama ni njia mbadala Wa kulekebisha marefa... nitakuja na ya kungoa viti tuone nalo no nani mwalimu wa haya yote...
Bisha mbishavyo mnyama mwaka huu hana wa kumzuia....
 
Hahaaaaaa. Umeona uzi unavyong'aa huo lakini?
 
Ambao mkicheza nao lazima mbebwe ili angalau mpate sare...
Msimu uliopita tuliwachapa nje ndani. Msimu huu mmetoa sare basi mnaongeeeea kama ndo mmechukua ubingwa.
Sisi tunaongea na wakimataifa wenzetu, mambo ya ndondo hatutaki
 
Msimu uliopita tuliwachapa nje ndani. Msimu huu mmetoa sare basi mnaongeeeea kama ndo mmechukua ubingwa.
Sisi tunaongea na wakimataifa wenzetu, mambo ya ndondo hatutaki
Labda kama hukuangalia mpira Mimi ninavyojua Simba 2 na Vyura FC 0...mengine tunawaachia tff na marefa wao...
 
Mechi ya Coastal Union vs KMC muamuzi akila kichapo baada ya Coastal kutoridhishwa na maamuzi yake kwenye mchezo wa ligi daraja la kwanza uwanja wa Mkwakwani Tanga.


Kama baba kama mwana. Sema tu hapo hapakuwa na viti vya kung'oa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…