Uchaguzi 2020 Video: Mwamba Freeman Mbowe atikisa kata ya Masama Sonu, Jani Isare lanyanyuliwa juu na wananchi

Uchaguzi 2020 Video: Mwamba Freeman Mbowe atikisa kata ya Masama Sonu, Jani Isare lanyanyuliwa juu na wananchi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio habari inayozunguka huko Hai kwa sasa, ni katika Mikutano ya kampeni ya Mgombea ubunge wa Jimbo hilo Mh Mbowe, Waziri Mkuu ajaye ambaye pia ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa anayeitwa Kaka wa Taifa.

Nisimalize uhondo, jionee mwenyewe
 
Hii ndio habari inayozunguka huko Hai kwa sasa , ni katika Mikutano ya kampeni ya Mgombea ubunge wa Jimbo hilo Mh Mbowe , Waziri Mkuu ajaye ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa , anayeitwa Kaka wa Taifa

Nisimalize uhondo , jionee mwenyewe
View attachment 1580958
Nabii na mtume Mwingira yupo sahihi. Lissu hakujenga flyover, hana mabango, hana wasanii, hana media, lakini ana nyomi ya watu kila anapokwenda. Nyomi yenye furaha na amani. Nyomi inayotabasamu ikipumua Uhuru, haki na maendeleo ya watu. Nyomi inayosahau matatizo yao na kumuita lissu Rais. Kuna siri ya Mungu ndani ya nafsi hii ya Lissu.
 
hawa mapropaganda wanaiuwa ccm wanareport habari kipropaganda kwa viongozi wao huku wakificha reality ndiyowalio ifikisha ccm hapa palepale na ole sabaya
 
Hii ndio habari inayozunguka huko Hai kwa sasa, ni katika Mikutano ya kampeni ya Mgombea ubunge wa Jimbo hilo Mh Mbowe, Waziri Mkuu ajaye ambaye pia ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa anayeitwa Kaka wa Taifa.

Nisimalize uhondo, jionee mwenyewe
View attachment 1580958
Duh chairperson wetu noma
1596186878881.jpg
 
Back
Top Bottom