Video: Mwambusi anatuharibia team. Kaseke, Nchimbi hawafai. Kalinyo alisusa

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kaseke siyo mtu wa kuanza daaah TUMEFELI SANA KEPTENI GANI YULE

Kaseke hafai, chimbi hafai mchezaji wa bei ghali carlinhos kakasirika kaenda vyumbani kabla mpira haujaisha, mwambusi hafai afukuzwe.

Wananchi tunadhalilika wakati tuna wachezaji wa bei ghali unamuweka nchimbi kweli? Kaseke rti captain?
 

Attachments

  • kaseke siyo nchimbii hovyooo.mp4
    4.3 MB
We jamáa inaonekana huujui mpira kabisa zaidi ya ushabiki ushabiki tu.

Timu ina wachezaji wengi wapya waliosajiliwa, inahitaji muda kukaa pamoja na kuzoeana.

Benchi la ufundi nalo ni jipya hvyo wanahitaji muda kuwafahamu wachezaji waliopo, kumbuka hakukuwa na mechi za pre-season

Hvyo kwa hali ilivyo si sawa hata kidogo kuhukumu performance ya timu kwa mechi moja tu,,, tuwape angalau mechi tano ili Kocha angalau awajue wachezaji aliowakuta

Kocha kama Sven au Aristica Cioba wa Azam wakiboronga ndio tutawahukumu kwasababu wanaingia msimu wa pili wakiwa na timu zao hizo hizo
 
hiyo siyo excuse kwa sababu walifumua kikosi kizima na walijua haya,no excuse hapo ni uzembe wao tu
 
SIYO MIMI BOSS NIMEREPORT WASHABIKI KINDAKINDAKI WA YANGA wanalalamika usinisakame nimeweka na video mkuu
 
muunganiko lin kaka kama unachelewa tuwachomee na machine ya welding waunganike,sasa carlos kukasirika hadi kuondoka mechi haijaisha ni nini? halafu wenzake hawampendi dogo anaringa kishenzi hahahahahahaa
 
kuna video mkuu halafu mimi siyo utopolo niko upande wa mrembo wa ki brazil nawasilisha tu mawazo ya wana utopolo na video juu
Umenikosha hapo kwa mrembo mkuu, Ntachagua mechi moja nikae 'platnum' ili walau nipate harufu ya Pafurme yake kama si kushika mkono wake. Hoi bin taaban.
 
Umenikosha hapo kwa mrembo mkuu, Ntachagua mechi moja nikae 'platnum' ili walau nipate harufu ya Pafurme yake kama si kushika mkono wake. Hoi bin taaban.
yaani najua lazima mwamedi kaakaa pale kama hajakaa namumaninia mwanangu magori maana kuanzia kina mange kimambi,rachel temu,hoyce temu,nancy sumari,irene kiweia wote kapitia mshenzi yule
 
Mwambusi sio kocha mkuu halafu huyo carhinos ndio hovyo kabisa
 
Kwani Mwambusi ndo kawasajiri Kaseke na Nchimbi au kamkuta? Hao unaowaponda wote ni wachezaji wanatakiwa kucheza
 
Kwani Mwambusi ndo kawasajiri Kaseke na Nchimbi au kamkuta? Hao unaowaponda wote ni wachezaji wanatakiwa kucheza
Mwambusi alimdanganya mzungu kocha wa makombe,,ila mzungu keshasema wachezaji wa kitanzania hawawezi dakika 90 wanzengua mziki wa kina kalinyo na wakongo huu
 
Mwambusi sio kocha mkuu halafu huyo carhinos ndio hovyo kabisa
Niyonzima je naye ni hovyo? Niyonzima wakuwekwa benchi na hao akina Kaseke na Nchimbi kwenye mechi muhimu kama ile unayohitaji point tatu muhimu? Mwambusi analaumiwa sio kwavile ni kocha mkuu bali yeye ni mzoefu na ligi ya Tanzania hivyo anajua ugumu wa Prisons.
 
Hadi waelewane mzunguko wa pili utakua umeshaanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…