Huyu kocha analeta mpira wa kizamani..huwezi kucheza na mawinga pande zote..Tusila na Farid wagombee nafasi ya winga wa kushoto..kulia hakuna haja ya kuwa na winga..Haruna atokee kulia..Feisal au Carlinhos namba nane..Holding midfielder Tonombe na Defensive midfielder Mauya..hatoki mtu..mbele Sarpong au Sogne..beki walewale au acheze Moro