Video na Picha: Ushahidi kuhusu yaliyotokea kwa Jaji Warioba wakati na baada ya vurugu, Ubungo Plaza

nani hasa aliyempiga warioba , nakala nzur ila bado inatuacha na maswali
 
Makonda ana mazuri mengi lkn pia nafikiri mabaya yake ya dhahiri na sirini ni mengi zaidi yamezidi hayo mazuri sasa ni muda wake kukumbana na Karma yake ni kikombe chake akipokee mpaka atoke kwenye kulipia udhalimu wake ndo atakuwa huru na hii ni kwa wote wanao ona hawata kuja kuguswa na sheria za maumbile

Unaweza kukimbia sheria za nchi/binaadam lkn sheria za maumbile hauwezi kuzi twist hata siku moja kuna siku utalipa au kulipwa kwa matendo yako afu ni hapa hapa ktk uso wa ardhi
 
Sijaona comment yako.
Sasa sijui ni funzo lipi mtu makini analoweza kutoka nalo kwenye somo hili.

1. Kumpiga Warioba - kukawafaidisha hao wahuni toka miaka hiyo. Kitendo hicho na mengine machafu yakawafanya waonekane hodari kwa watu waliopendezwa na tendo hilo. Hawa wenye madaraka wakawazawadia vyeo ambavyo wamefaidika navyo hadi wakati huu, na hakuna ajuaye kwamba hawataendelea kufaidika baada ya hapa.

Kwa hiyo uhuni unalipa? Hilo linaweza kuwa finzo kwa baadhi ya watu.

2. Ngoja funzo hili la pili niliweke kipolo kwa sasa.
 
ASANTE sana Mkuu kwa hii kitu..
Kigamboni mngezubaa tu mngempa Ubunge huyu muhuni Bashite.
 
mkuu hapa duniani ukitaka kufanikiwa lazima ukufuru kwanza, (kafara tena ilionona) kupata vyeo na hata pesa, so Mzee warioba pia ilikua ni kafara ilionona!
 
Hiyo ni moja ya laana zinazomfuata Bashite nyuma, ipo pia ya kumtukana matusi mzee wa mafuriko!
 
Ogopa internet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…