Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
hao vijana walioleta fujo ni wasaliti na maadui wa taifa. Kama serikali haitawachukulia hatua, si wanaonekana kwa sura, wanajulikana tunao huku mtaani, kwanini tusiwafuate hukuhuku mtaani tuwale kabang ili iwe fundisho kwa vijana wengine wanaotumiwa? Nchi hii ya kipumbavu sana.
UDSM imeharibiwa sana na wajinga wa ccm. Haina thamani tena.
HUYU DOGO INAFAA TUMVIZIE HUKU MTAANI K.U.M.A.B.A.KE ANAMPIGA WARIOBA?????? HEEEEEE???????????Mbona sioni picha ya Makonda akimpiga Mzee Warioba??
Huyu mzee si aliwahi kuwa waziri mkuu,mababu huwa wananisimulia,je akiwa waziri mkuu kipi alifanya cha kumfanya japo tumkumbuke?
Makonda amejibu uzushi unaosambazwa mitandao tangu jana kuwa kampiga mzee Wariyoba
"Mimi nilienda kama Mtanzania mwingine yeyote wa kawaida ila vijana waliponyoosha mabango walitokea watu waliyotaka kumdhuru mlemavu wa macho nilitokeza kumsaidia baada ya hapo nilimsaidia pia mzee wariyoba zipo picha mtaziona"
Ukumbi wa ubungo plaza ni ukumbi wa kisasa sana una camera pande zote hilitukio liangaliwe vizuri mtaona kama nimefanya hilo tukio hilo
Chanzo ni radio free Afrika.
Ndio maana wasomi wengi hata hawajui wanasoma nini ili wafanye nini, tukiambiwa wasomi wa TZ hawauziki tunapiga kelele, aibu sana kijana mzima tena rijali utabeba bango ili mzee sawa na babu yako atukanwe? Halafu hawa ndio wanaume wanaotegemewa kuwa baba wa familia, aibu sana, na hili ni janga hata kwenye familia nyingi wanashindwa kuendhesha nyumba zao ndoa zizavunjika kila siku wanaume hawajitambui.
Hivi Makonda ni nani hasa?
Wana JF, Tuepuke kulishwa sumu . Kuna member hapa jf wanatafuta umaarufu kupitia CCM.
Hatutakubali jambo hilo liendelee hata kidogo.
Jambo halina hata ushahidi, lakini mnapayuka bila hata kuona aibu
Pole sana kijana wetu Paul Makonda.
Mandla,
Wa Dodoma.
mungu atakulinda wamekuwa wazushi tuu .
Warioba anapaswa kusoma alama za nyakati
Makonda amejibu uzushi unaosambazwa mitandao tangu jana kuwa kampiga mzee Wariyoba
"Mimi nilienda kama Mtanzania mwingine yeyote wa kawaida ila vijana waliponyoosha mabango walitokea watu waliyotaka kumdhuru mlemavu wa macho nilitokeza kumsaidia baada ya hapo nilimsaidia pia mzee wariyoba zipo picha mtaziona"
Ukumbi wa ubungo plaza ni ukumbi wa kisasa sana una camera pande zote hilitukio liangaliwe vizuri mtaona kama nimefanya hilo tukio hilo
Chanzo ni radio free Afrika.