witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Weee ni lake, kabisa hadi sautiamelikana kasema siyo lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee ni lake, kabisa hadi sautiamelikana kasema siyo lake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana tafadhali ni wcb wote anawazidi
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume kama hamo wachache sana
Ngoja ninyamaze mie
Pm haiwezi funguka aseePM mbona nikitumiwa video nikadownload inagoma inasema download failed?
Najaribu kuvompare maana anataka kunipiku kwa kajalaUnataka uone nyeti za mwanaume mwenzio ili ugundue nini 🚶🏽♀️
Paula ni binamu wa Taifa, na mamake ni Shangazi wa Taifa 😁Ndio
Hilo dude mbona ni brand tosha jamani, anataka brand gani tena...Kulinda brand tu
Usitutishe!Hasa nikiwapa maiki watume salamu huwa wanashindwa kuliweke lote mdomoni(midomo yao midogo)
Sallam sk na harmonize Wana bifu muda mrefu tangu harmonize yupo Wcb Hilo sio la kushangaa ingekuwa mwenye label kaingilia Hiyo issue ningekubali so hiyo mantiki ya kusema Wcb nzima inapambana na harmonize inatoka wapi?na salam je ? me sina timu mkuu me msema ukweli...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wanaume wameisha.
Hawa ni wale wanaoimbaga sitaki kibamia mwanaume mashine cha ajab yy ni mwanaume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nachoombea kwa sasa ni mleta mada asiwe wa kiume
Plz naomba nitumie na mie nione.Nimeiona ya kawaida sana
Haaaaa Haaaaa 😂 haloooooInasemekana hana mtoto. Kale kabinti naskia kasingiziwa. Sasa hilo dude sjui nini lina faida gani?
Anataka kushtaki watu wa instagram, wewe kaa hapo , kama ule utupu ni wake maisha Yatakuwa magumu kwakeShido shido shidowaaa shidowanobadeeee
wani taimu fo ma bebe tuu fo mabebee thrii fo mabebe ol naiiiit
Aisee Konde to the world. Amejua kuwashikaaaa na mbaya zaidi walitegemea ataumbuka kumbe ana mdushe mkubwa imegeuka mtafutano wale wadada wapenda mijihogo mikubwa wanatoa udenda.
Mwisho wa siku Kajala ni mjinga.