Video: Nabii Olivia asikika akimpanga muumini apige kelele kuashiria anatolewa mapepo

Nimangalia hiy video, kingine watu hawaja jua ni pale baada ya 'mgonjwa feki' kuanguka fasta akainuka yeye mwenyewe!!! watu wenye kupandwa na mapepo huwa na nguvu na kugalala gala chini uwezo wa kuamka wenyewe ni mdogo.

Kuna haja ya kuweka kodi kwenye makanisa, hii ni biashara kama zingine
 
Nabii Olivia wa Kanisa la Repohim Church akimpanga muumini apige kelele akiashiria mapepo yanamtoka.
SOUDYBROWN: Mambo ni hiviii
Jamani Mtumishi Wa Mungu Askika Akimpanga Muumini apige kelele kuashiria anatolewa Mapepo.

MGEN umeona Dini ya uongo? Ndiyo hii...
Wala siyo yule Nabii kipenzi cha Allah..yule alikuwa mkweli.
Ila mgen huwa nampendea kitu kimoja tu. Huwa anatumia aya za Quran kuutukuza ukristo at the same time anamponda Allah na Mtume Mohammad!!
Ubarikiwe Mgen.
Gavana ni kiboko ya MGEN....
 
Pkokeni achaneni na kulia lia na dini, Hakuna kitu kama dini hata Yesu alipokuja alikuta watu na dini zao lakini hazikuwasaidia ndiposa akawapatia wokovu ili kwenda mbinguni:

Note:Jina tulilopewa ni YESU na si MWAMEDY, MARIA, YOSEFO WALA PAPA.

Na waabuduo sanamu sehemu yao ziwa la moto.

Mara nyingi hawa jamaa zangu wanaabudi sanamu ukiwaambia wanakwambia hatuabudu ila tunaheshimu
 
Kuna mizuzu miwili mijanaume imekaa mstari wa mbele kabisa.....
Ukirisitu huu!!
 
Biashara kama zingine tu ila hii ni mbaya zaidi hata kiuchumi, mijamaa haifanyi kazi, Ulongo Ulongo tu daily, wajinga wao wakiwachangia.
 
wewe kama mimi... hasa harusi na misiba.. hapo nawakubali sana waislam... akitokea shehe feki wanamcharaza bakora
Ukiwafahamu hao, utaedit maandishi yako.....ni vizuri kuendelea kukaa gizani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…