Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Uhuru wa kuchapwa na POLISI na kuuliwa hovyo, pia utaupata katika failed states kama Kenya.Uhuru wa kujieleza unapatikana tu kwenye mataifa yaliyoendelea. Sipati picha kama hii ingelitendeka huku bongo hali ingekuaje.
Kenya imeendelea? 😂😂😂Uhuru wa kujieleza unapatikana tu kwenye mataifa yaliyoendelea. Sipati picha kama hii ingelitendeka huku bongo hali ingekuaje.
ndioKenya imeendelea? 😂😂😂
Ndio wanavyojidanganya.Kenya imeendelea? 😂😂😂
Uhuru wa kujieleza unapatikana tu kwenye mataifa yaliyoendelea. Sipati picha kama hii ingelitendeka huku bongo hali ingekuaje.
hutaki kuamini au?!Ndio wanavyojidanganya.
Kampongeza kwa kipi alichofanya wakati anasema mchague ruto sijui nini kwani ruto si yuko serikalini aimpliment hayo mawazo yanayofanya uhuru aonekane ni muuaji!Kisa kampongeza ruto?acha kuhisi hivyo mkuu
Unataka kunilazimisha?hutaki kuamini au?!
wacha nikuulize, ni nchi gani iliyoendelea kanda ya Afrika Mashariki na Kati? jibu kaa nalo.Unataka kunilazimisha?
Yaani kama huwajui watakudanganya sana 😂Ndio wanavyojidanganya.
Nenda kawaulize jamaa zako wa huko Turkana labda watakuelewa.wacha nikuulize, ni nchi gani iliyoendelea kanda ya Afrika Mashariki na Kati? jibu kaa nalo.
Hawa jamaa wana matatizo.Yaani kama huwajui watakudanganya sana 😂
Uhuru wa kujieleza unapatikana tu kwenye mataifa yaliyoendelea. Sipati picha kama hii ingelitendeka huku bongo hali ingekuaje.
sasa unapinga au unakataa?Sasa Kama uhuru wa kijieleza mbona anahofia kushikwa ?mtu kajitoa mhanga munapiga debe hapa uhuru wa kujieleza Kama kweli huko munao uhuru wa kujieleza sema na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app