Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
Jamaa wa Turkana wameendelea zaidi kidemokrasia kukuliko.Nenda kawaulize jamaa zako wa huko Turkana labda watakuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wa Turkana wameendelea zaidi kidemokrasia kukuliko.Nenda kawaulize jamaa zako wa huko Turkana labda watakuelewa.
Endelea kujidanganya.Jamaa wa Turkana wameendelea zaidi kidemokrasia kukuliko.
sawasawaEndelea kutupa facts.
Sawasawa.bila kujidanganya nyang'au hatuwezi kuishi
Hata Uhuru wa kuchapwa na POLISI na kuuliwa hovyo, pia utaupata katika failed states kama Kenya.
Jadili alichokizungumza, acha kukimbia ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa unapinga au unakataa?
we kubali bana mambo yaishe. ala!Utaelewa tu , Ila nawe ropoka ndio nitaamin kwel Kuna uhuru wa kujieleza Ila ikishindwa bc kutakua hamna Ila kilichobaki ni kujitoa mhanga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan Taifa lolote linahitaji watu kama hawa wanaoweza kusema na kuwaambia ukwel pale viongozi wa juu wanapofanya makosa, bila hiana wala uoga.
Huyu jamaa ukimwangalia alichokizungumza ni facts,
Plz watch out!