CCM imetengeneza vijana wa hovyo sana.nchi imejaa wapumbavu sana
mambo ya vicheni part vilitakiwa kuishia huko huko.ila hii tabia ya kuleta kwenye mitandao ni kosaMimi Mjanja M1 nimeishi MAREKANI, UINGEREZA na CHINA. Kote huko sijaona mambo ya ajabu kama haya.
View attachment 3015601
Hiyo ni Kitchen party, It's a part of our Customs a little bit modernized ukilinganisha na zamani ila bado tunayo hiyoMimi Mjanja M1 nimeishi MAREKANI, UINGEREZA na CHINA. Kote huko sijaona mambo ya ajabu kama haya.
View attachment 3015601
Well said πππHiyo ni Kitchen party, It's a part of our Customs a little bit modernized ukilinganisha na zamani ila bado tunayo hiyo
You guys mnafikiliaga tu wazungu ndo wako civilized kiivyo kiasi mnaona ili tufanikiwe we have to abandon our culture, Uo ni upuuzi !!
Mleta mada sasa apo kwenye Clip kuna kosa gani...Yan hao wanaoleta ushoga ndio unaona wana maadili sioMimi Mjanja M1 nimeishi Marekani, Uingereza na China, kote huko sijaona mambo ya ajabu kama haya!
View attachment 3015601