VIDEO: Never Seen Anywhere in Afrika: Polisi Kenya wapevuka, Kijana wa Gen Z awapa somo na Uraia wamemuachia

VIDEO: Never Seen Anywhere in Afrika: Polisi Kenya wapevuka, Kijana wa Gen Z awapa somo na Uraia wamemuachia

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kuna matukio mengi sana yanayohusu maandamano wanayofanya wananchi wa Kenya kwa ajili ya ugumu wa maisha unaotegemewa kuletwa na ongezeko la kodi katika bidhaa kadhaa nchini humo.

Ila sasa, tukio la masaa kadhaa yaliyopita kwa vijana kuamua kuingia ndani ya bunge la nchi hiyo ndilo kubwa.

20240625_183407.jpg

Na pamoja na hilo jeshi lilipojaribu kuzuia taflani hiyo kulitokea madhara na mauaji kwa baadhi ya waandamanaji na mmoja wapo wa Gen Z kuonekana kupasuliwa kichwa kwa ubongo wake kuzagaa chini.

IMG_20240625_185520.jpg

Kutokana na kadhia hiyo na nyingine nyingi askali waliendelea kuwakamata waandamanaji hasa vijana wanaojulikana kwa jina Gen Z ambao wamekuwa na hari.

Mmojawapo wa kijana ambaye ndiye hasa chanzo ya mada hii ni huyu hapa chini.

Kakamatwa lakini kwa sababu ameamua kujitoa kwa ajili ya kizazi kijacho basi kawaambia polisi kwa kuwapa somo la Uraia na katiba, kisha hawakumgusa akashuka mwenyewe kwenye karandinga.

Tafadhali msikilize hapa...

 
Kuna jamaa anasema kule Sirari border vijana wanapata moto kweli kweli, kwamba ile inafanyika NRB ikuje hadi angle yao iwe chachu 🙂 kuliamsha!.

UPDATE:
IMG_20240625_201226.jpg

Kuna jamaa wameingia ofisi za KRA, ofisi ambayo ndiyo inakusanya mapato, baada ya vurumai kaamua kusepa na benchi.
 
Kuna matukio mengi sana yanayohusu maandamano wanayofanya wananchi wa Kenya kwa ajili ya ugumu wa maisha unaotegemewa kuletwa na ongezeko la kodi katika bidhaa kadhaa nchini humo.

Ila sasa, tukio la masaa kadhaa yaliyopita kwa vijana kuamua kuingia ndani ya bunge la nchi hiyo ndilo kubwa.

View attachment 3026047
Na pamoja na hilo jeshi lilipojaribu kuzuia taflani hiyo kulitokea madhara na mauaji kwa baadhi ya waandamanaji na mmoja wapo wa Gen Z kuonekana kupasuliwa kichwa kwa ubongo wake kuzagaa chini.

View attachment 3026054
Kutokana na kadhia hiyo na nyingine nyingi askali waliendelea kuwakamata waandamanaji hasa vijana wanaojulikana kwa jina Gen Z ambao wamekuwa na hari.

Mmojawapo wa kijana ambaye ndiye hasa chanzo ya mada hii ni huyu hapa chini.

Kakamatwa lakini kwa sababu ameamua kujitoa kwa ajili ya kizazi kijacho basi kawaambia polisi kwa kuwapa somo la Uraia na katiba, kisha hawakumgusa akashuka mwenyewe kwenye karandinga.

Tafadhali msikilize hapa...

View attachment 3026059
Shujaa wa Leo kwa kizazi kijacho,(masilahi).
 
Kuna matukio mengi sana yanayohusu maandamano wanayofanya wananchi wa Kenya kwa ajili ya ugumu wa maisha unaotegemewa kuletwa na ongezeko la kodi katika bidhaa kadhaa nchini humo.

Ila sasa, tukio la masaa kadhaa yaliyopita kwa vijana kuamua kuingia ndani ya bunge la nchi hiyo ndilo kubwa.

View attachment 3026047
Na pamoja na hilo jeshi lilipojaribu kuzuia taflani hiyo kulitokea madhara na mauaji kwa baadhi ya waandamanaji na mmoja wapo wa Gen Z kuonekana kupasuliwa kichwa kwa ubongo wake kuzagaa chini.

View attachment 3026054
Kutokana na kadhia hiyo na nyingine nyingi askali waliendelea kuwakamata waandamanaji hasa vijana wanaojulikana kwa jina Gen Z ambao wamekuwa na hari.

Mmojawapo wa kijana ambaye ndiye hasa chanzo ya mada hii ni huyu hapa chini.

Kakamatwa lakini kwa sababu ameamua kujitoa kwa ajili ya kizazi kijacho basi kawaambia polisi kwa kuwapa somo la Uraia na katiba, kisha hawakumgusa akashuka mwenyewe kwenye karandinga.

Tafadhali msikilize hapa...

View attachment 3026059
So bold and knowledgeable
 
sijawahi elewa logic ya watu kulaumu polisi, mlitaka polisi akatae amri au ni vipi? kumlaumu askari eti mbona mnatufanyia hivi siyo sawa, askari yuko kazini…
Askari wa Nazi, wa Hitler, baada ya vita vikuu vya pili, walishitakiwa katika Nuremberg Trials, kwa nini walishiriki kuua Wayahudi?

Katika moja ya tetezi wakizotumia, ni huo utetezi wa "askari anatimiza amri tu".

Mahakama ya Nuremberg ikahukumubkwamba, utetezi wa "askari anatimiza amri tu" haumuondoleo askari hatia. Askari anatakiwa kutotii amri kama anaona amri si ya haki.

Na askari akiitimiza amri, anachukua wajibu kuwajibika kwa yatakayotokea kutokana na amri hiyo.

Hoja ya kutimiza "amri kutoka juu" si utetezi, ni kukubali kufanya kosa.
 
Askari wa Nazi, wa Hitler, baada ya vita vikuu vya pili, walishitakiwa katika Nuremberg Trials, kwa nini walishiriki kuua Wayahudi?

Katika moja ya tetezi wakizotumia, ni huo utetezi wa "askari anatimiza amri tu".

Mahakama ya Nuremberg ikahukumubkwamba, utetezi wa "askari anatimiza amri tu" haumuondoleo askari hatia. Askari anatakiwa kutotii amri kama anaona amri si ya haki.

Na askari akiitimiza amri, anachukua wajibu kuwajibika kwa yatakayotokea kutokana na amri hiyo.

Hoja ya kutimiza "amri kutoka juu" si utetezi, ni kukubali kufanya kosa.

walishitakiwa askari waliopokea amri na kutekeleza au mabosi waliotoa amri?
 
Askari nao ni watu mara nyingi wana-sympathize tatizo wakiwa kwenye mob / group huwa wana-act kama hawana akili nzuri (mob psychology) ukiwa na wadau wako unaweza kufanya vitu ambavyo ukiwa peke yako huwezi kuvifanya pale mmoja tu angeanza kumpiga wote wangeendelea....
 
walishitakiwa askari waliopokea amri na kutekeleza au mabosi waliotoa amri?
Wote, kuanzia mabosi waliotoa amri mpaka askari wa kawaida waliotimiza amri.

Hao askari wa kawaida wakajitetea kwa hoja ya "sisi ni askari wa kawaida tu, tulitimiza amri kutoka juu tu, hatukutoa hizo amri".

Wakaambiwa kuwa, kutekeleza amri kutoka juu hakukuondolei hatia. Ukiikubali amri yenye kisa na kuitekeleza na wewe unakuwa na hatia.
 
Kiranga

Unafikiri “command of chain” katika majeshi si njia sahihi sababu inachochea viongozi kuwafanyisha kazi chafu watu wake wa chini kwa madai ya kudai anatii amri tu?
Tatizo sio "chain of command". Hiyo ipo kwa sababu maalum, sababu za kimantiki na za halali.

Kwa mfano, huwezi kupigana vita vizuri bila ya kuwa na "chain of command" inayosema nani atatangaza vita, nani ataongoza vita kutoka juu, kila kikosi kitaongozwa na nani. Nani akisema "attack", una attack, akisema "ceasefire" una ceasefire.

Hiyo chain of command ni lazima iwepo jeshini.

Tatizo linakuja kunapotokea "abuse of power", kutoa command ambazo zipo kinyume na haki, sheria, katiba. Ndiyo hizo habari za wanasiasa kuagiza raia wapotezwe, wauawe.

Hilo si tatizo la "chain of command" hilo ni tatizo la "abuse of power".
 
chain of command".
Ahsante kwa kunirekebisha.
kutoa command ambazo zipo kinyume na haki, sheria, katiba. Ndiyo hizo habari za wanasiasa kuagiza raia wapotezwe, wauawe.
kiranga,

Unafikiri ni kwanini vyombo vya ulinzi vinatumiwa kufanya kazi chafu tofauti na miiko yake ya kazi?
Hilo si tatizo la "chain of command" hilo ni tatizo la "abuse of power
Sheria zinawalinda vipi askari wa chini kutambua kwamba hii ni “abuse of power” na si “chain of command”?

Zipo sheria zinazowapa uhuru wa kupinga kwamba hii ni abuse of power hivyo siwezi kutii?
 
Back
Top Bottom