Pre GE2025 Video: Ni vile Madaraka ni Matamu tu ila ningekua mtoto wa Wasira ningemuomba kwa nguvu zote apumzike

Pre GE2025 Video: Ni vile Madaraka ni Matamu tu ila ningekua mtoto wa Wasira ningemuomba kwa nguvu zote apumzike

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ngoja nisikujibu..... Jibu unalo ila umeamua tu kutoshirikisha modular kujijibu mkuu..
Mimi naamini Mzee Wasira ana nguvu za mwili na akili zaidi ya Mzee Trump!
Wewe angalia hata sura zao utagundua kuwa Trump kachoka zaidi ya Wasira.
 

Attachments

  • images(116).jpg
    images(116).jpg
    5.8 KB · Views: 2
  • images(118).jpg
    images(118).jpg
    37.4 KB · Views: 2
Tuliompa kazi tunayajua hayo yote tafuta lingine.
 
Mimi naamini Mzee Wasira ana nguvu za mwili na akili zaidi ya Mzee Trump!
Wewe angalia hata sura zao utagundua kuwa Trump kachoka zaidi ya Wasira.
Kaka inawezekana ukawa sawa. Tusihukumu sana ngoja tuone. Japo Mwafrica wa miaka 80 sio sawa na mzungu wa miaka 80. Tofauti ni kubwa hasa katika makuzi na malezi ya kimwili na kiakili. Wafrika tunawahi kuchoka akili... tuna mizigo ya mambo vichwani
 
Mimi binafsi naona watu mnaomsema Mzee Wasira ni kwasababu mnamuogopa!
Mzee huyu ukimlinganisha na rais wa Marekani Donarld Trump mzee Wasira bado ana nguvu sana japo kamzifi mzee Trump mwaka mmoja.
Watu ambao wanaogopa nguvu ya kujenga hoja zinazotokana na uzoefu alionao Mzee Wasira kutokana na kukaa ndani ya chama na serikali kwa muda mrefu sana ndio kila siku kumsemasema kama vile hamna mazungumzo mengine.
Mzee Wasira bado Yuko fiti sana na CCM hawakukurupuka wala hawakukosea kumpa mzee Wasira nafasi hiyo!.
Kumbukeni palipita muda mrefu sana tangu mzee Kinana ajiuzulu kwahiyo walipata muda wa kutuliza akili na kuwakagua makada wa CCM mmoja baada ya mwingine hadi mwisho ndio wakaona ni mzee Wasira ndiye mtu sahihi anayefaa kwa nafasi hiyo kutokana na hali iliyopo ya joto la kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu!.
Kwahiyo tulieni na bado hamjasema, yaani lazima mseme!
 
We boya kweli hv huyo babu aogopwe kwa hoja gani anazojenga zaidi ya kusinzia na kuongea vitu asivyovijua hata yeye, hangaya alipaswa afikirie mara2 kabla ya kumteua huyo babu wa watu anateseka tu huko majukwaani
 
Heshima kubwa kwa mods, hakika wanatutendea haki pale tu apokua na typing errors au makosa mbalimbali ya kimantiki katika uandishi...

Kudoz sana!!
Cookie
Paw
Moderator
Roving Journalist

Na mods wote ambao sijawatag, asanteni nyote!!
 
Kaka inawezekana ukawa sawa. Tusihukumu sana ngoja tuone. Japo Mwafrica wa miaka 80 sio sawa na mzungu wa miaka 80. Tofauti ni kubwa hasa katika makuzi na malezi ya kimwili na kiakili. Wafrika tunawahi kuchoka akili... tuna mizigo ya mambo vichwani
Unachosema ni kujidharau na kupenda kuwatukuza watu weupe! Nimewakaa moja ya nchi za kiarabu. Darasani ilikuwa kuna Mwalimu ana miaka 32 lakini ukimwamgalia kama vile ana 45.
Watu weupe wanazeeka na kuchoka mapema.
Sisi watu weusi mifumo ya maisha inatufanya tuwe ni watu wafanya mazoezi kila siku hivyo kuwa na miili iliyokomaa na kuwa na afya njema ukilinganisha na hao whites ambao wamelelewa na mavyakula ya viwandani.
Sisi tumekuzwa na vyakula vya asili, nyama imetoka bucha, samaki katoka baharini sio supermarket ! Kuna mambo mengi ukiyaangalia utaamini kuwa afya za watu weusi ni imara kuliko za watu weupe.
Wewe hapa Tanzania tua angalia wanaume wa Dar walioleewa na chipsi kuku na wanaume wa mikoani waliolelewa na ugali wa Dona kwa mbogamboga na maziwa halisi ya mtindi wa ng'ombe wa kienyeji wepi Wana afya bora zaidi?!
 
Wewe hapa Tanzania tua angalia wanaume wa Dar walioleewa na chipsi kuku na wanaume wa mikoani waliolelewa na ugali wa Dona kwa mbogamboga na maziwa halisi ya mtindi wa ng'ombe wa kienyeji wepi Wana afya bora zaidi?!
😁 Huu sasa uchochezi. Ngoja waje wanetu wa daisalamu
 
Back
Top Bottom