Pre GE2025 Video: Ni vile Madaraka ni Matamu tu ila ningekua mtoto wa Wasira ningemuomba kwa nguvu zote apumzike

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ngoja nisikujibu..... Jibu unalo ila umeamua tu kutoshirikisha modular kujijibu mkuu..
Mimi naamini Mzee Wasira ana nguvu za mwili na akili zaidi ya Mzee Trump!
Wewe angalia hata sura zao utagundua kuwa Trump kachoka zaidi ya Wasira.
 
Tuliompa kazi tunayajua hayo yote tafuta lingine.
 
Mimi naamini Mzee Wasira ana nguvu za mwili na akili zaidi ya Mzee Trump!
Wewe angalia hata sura zao utagundua kuwa Trump kachoka zaidi ya Wasira.
Kaka inawezekana ukawa sawa. Tusihukumu sana ngoja tuone. Japo Mwafrica wa miaka 80 sio sawa na mzungu wa miaka 80. Tofauti ni kubwa hasa katika makuzi na malezi ya kimwili na kiakili. Wafrika tunawahi kuchoka akili... tuna mizigo ya mambo vichwani
 
 
We boya kweli hv huyo babu aogopwe kwa hoja gani anazojenga zaidi ya kusinzia na kuongea vitu asivyovijua hata yeye, hangaya alipaswa afikirie mara2 kabla ya kumteua huyo babu wa watu anateseka tu huko majukwaani
 
Heshima kubwa kwa mods, hakika wanatutendea haki pale tu apokua na typing errors au makosa mbalimbali ya kimantiki katika uandishi...

Kudoz sana!!
Cookie
Paw
Moderator
Roving Journalist

Na mods wote ambao sijawatag, asanteni nyote!!
 
Kaka inawezekana ukawa sawa. Tusihukumu sana ngoja tuone. Japo Mwafrica wa miaka 80 sio sawa na mzungu wa miaka 80. Tofauti ni kubwa hasa katika makuzi na malezi ya kimwili na kiakili. Wafrika tunawahi kuchoka akili... tuna mizigo ya mambo vichwani
Unachosema ni kujidharau na kupenda kuwatukuza watu weupe! Nimewakaa moja ya nchi za kiarabu. Darasani ilikuwa kuna Mwalimu ana miaka 32 lakini ukimwamgalia kama vile ana 45.
Watu weupe wanazeeka na kuchoka mapema.
Sisi watu weusi mifumo ya maisha inatufanya tuwe ni watu wafanya mazoezi kila siku hivyo kuwa na miili iliyokomaa na kuwa na afya njema ukilinganisha na hao whites ambao wamelelewa na mavyakula ya viwandani.
Sisi tumekuzwa na vyakula vya asili, nyama imetoka bucha, samaki katoka baharini sio supermarket ! Kuna mambo mengi ukiyaangalia utaamini kuwa afya za watu weusi ni imara kuliko za watu weupe.
Wewe hapa Tanzania tua angalia wanaume wa Dar walioleewa na chipsi kuku na wanaume wa mikoani waliolelewa na ugali wa Dona kwa mbogamboga na maziwa halisi ya mtindi wa ng'ombe wa kienyeji wepi Wana afya bora zaidi?!
 
Wewe hapa Tanzania tua angalia wanaume wa Dar walioleewa na chipsi kuku na wanaume wa mikoani waliolelewa na ugali wa Dona kwa mbogamboga na maziwa halisi ya mtindi wa ng'ombe wa kienyeji wepi Wana afya bora zaidi?!
😁 Huu sasa uchochezi. Ngoja waje wanetu wa daisalamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…