Video: Nimekuwa Mtanzania wa kwanza kuvuka Ubungo flyover tokea Mlimani City kuelekea Riverside

Video: Nimekuwa Mtanzania wa kwanza kuvuka Ubungo flyover tokea Mlimani City kuelekea Riverside

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nadhani hapa sasa Tanzania kama nchi tunaweza kuanza kuvuna matunda ya hili daraja, maana loss tuliyokuwa tunaingiza kwenye foleni za Ubungo kama taifa, ilikuwa kubwa mno!! Ona video.

 
Watanzania Wengi Tumemchoka magufuli.

Mbingu yote Imemkataa.
 
Walio kuwa wanaijenga nao walikuwa wahavuki
 
Back
Top Bottom