Video nyingine inaonyesha shambulio la ndege isiyo lna rubani ikitua Israel kutoka Lebanon

Video nyingine inaonyesha shambulio la ndege isiyo lna rubani ikitua Israel kutoka Lebanon

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Video nyingine inaonyesha shambulio la ndege isiyo na rubani ya Hezbollah dhidi ya Israel.

Jumla ya ndege 3 zisizo na rubani zilifikia lengo lao.

Israel wanasema walizuia mashambuli kutoka Lebanon, Israel wamepiga marafuku waandishi wa habari kupiga picha maeneo yanayoshambulia.


View: https://x.com/currentreport1/status/1828127225142747410?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Najua wewe ni moja ya member wasio aminika hapa jukwaani
Maana ulishawahi kuleta video ya polisi wa Israel wenye bendera yao kabisa ukasema ni hizbola ikiwa inakamata makachero wa Israel

Hata Kama huko kwenu uongo ni suna za mtume Basi jitahidi walau

Ikiwa hizo ndo target za hizbola na mabanda ya kuku Basi wanamtia hasara sponsor wao 😀😀😀
 
Najua wewe ni moja ya member wasio aminika hapa jukwaani
Maana ulishawahi kuleta video ya polisi wa Israel wenye bendera yao kabisa ukasema ni hizbola ikiwa inakamata makachero wa Israel

Hata Kama huko kwenu uongo ni suna za mtume Basi jitahidi walau

Ikiwa hizo ndo target za hizbola na mabanda ya kuku Basi wanamtia hasara sponsor wao 😀😀😀
Hata Paulo aliota kamuona Yesu wakati hamjui na bado mlimuamini na mnafata hadithi zake fake.

Mnamuamini Israel kuhusu banda la kuku, inatosha tupeni hao kuku tuwale 😄
 
Wewe mjane tukianza kukujibu kwa kuikashifu dini yako,usije tu ukakimbia mpaka ukakata shanga zako za kiunoni.
Wewe na huyo unayesema mwenye dini, hakuna kati yenu mwenye dini, sema nyinyi ni mashabiki au bendera fuata upepo wa dini za watu. Kiazii.
 
Huyu ndio sawa na jamaa anaitwa Bams akatudanganya eti kursk ni eneo kubwa kuliko Donestk,Donbas,Mariupol na kharkiv ukizichanganya kwa pamoja.
Sio amri yao mkuu, pasipo bahati kwa sasa hawatumii akili kabisa
 
Wewe na huyo unayesema mwenye dini, hakuna kati yenu mwenye dini, sema nyinyi ni mashabiki au bendera fuata upepo wa dini za watu. Kiazii.
Sasa wewe kinakuwasha nini? Au umeona tu ili mradi na wewe ujipitishe huku unatingisha kalio?
 
Back
Top Bottom