Kanisani kabisa mna Muda hata Kwa kuji rekodi?Penzi kati ya Harmonize na mwanadada Poshy Queen linaendelea ku-make headlines kwenye mitandao ya kijamii.
Harmonize amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost Video akiwa Kanisani na mpenzi wake Poshy Queen.
View attachment 2907938
Ikumbukwe kuwa Harmonize ni Muislamu kiimani na Baba yake mzazi ni Ostadhi.
✍️ Mjanja M1
Nyie mnajuana wenyewe mkikata huko salon mnayosimuliana. Sisi wanaume hayatuhusu.Penzi kati ya Harmonize na mwanadada Poshy Queen linaendelea ku-make headlines kwenye mitandao ya kijamii.
Harmonize amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost Video akiwa Kanisani na mpenzi wake Poshy Queen.
View attachment 2907938
Ikumbukwe kuwa Harmonize ni Muislamu kiimani na Baba yake mzazi ni Ostadhi.
✍️ Mjanja M1
Naye ukimchunguza anapenda wakristo mchuguze coz akiwa na muislam mwenzake utaona siku mbili anabwaga , wapo wengi sasa hivi wanagombania mademu wa kikristo na mademu wa kiislam wanalalamika coz ndoa zimekuwa almas kwao ni adimu wengine wanalogana😂😂😂 mfano jux naye hivyo hivyo halafu ukichunguza wakristo wanaowa wakristo wenzao ila waislam wengi hawataki kuowa waislam wenzao chunguzaJamaa kila tawi analolirukia anatakiwa ajitwishe msalaba wake i.e kila mwanamke ampataye anakuwa mkristu!Sasa sijui safari hii atapatiwa jina gani tena?
Sie wakosefuAkatuombee
Hivi Wamakonde wote ni wahangaikaji kama huyu jamaa?Jamaa kila tawi analolirukia anatakiwa ajitwishe msalaba wake i.e kila mwanamke ampataye anakuwa mkristu!Sasa sijui safari hii atapatiwa jina gani tena?
"Njini laaha kunoga"!Yeye na Grand P dugu moya!Hivi Wamakonde wote ni wahangaikaji kama huyu jamaa?
Mataco yanampelekesha sana
Ngoja nikae mwenyewe kama kamati ya mtu mmoja nilichungulie hili.Naye ukimchunguza anapenda wakristo mchuguze coz akiwa na muislam mwenzake utaona siku mbili anabwaga , wapo wengi sasa hivi wanagombania mademu wa kikristo na mademu wa kiislam wanalalamika coz ndoa zimekuwa almas kwao ni adimu wengine wanalogana😂😂😂 mfano jux naye hivyo hivyo halafu ukichunguza wakristo wanaowa wakristo wenzao ila waislam wengi hawataki kuowa waislam wenzao chunguza