Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Wamakonde wote washamba wa mapenziSikuwaza kuwa kijana ni mshamba wa mademu kiasi hiki!..
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamakonde wote washamba wa mapenziSikuwaza kuwa kijana ni mshamba wa mademu kiasi hiki!..
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Wamakonde tupo hivyo ila tunafeli sehemu moja tuHivi Wamakonde wote ni wahangaikaji kama huyu jamaa?
Mataco yanampelekesha sana
Mara wamakonde malaya mara leo washamba sijui tulishike lipiWamakonde wote washamba wa mapenzi
BobJamaa kila tawi analolirukia anatakiwa ajitwishe msalaba wake i.e kila mwanamke ampataye anakuwa mkristu!Sasa sijui safari hii atapatiwa jina gani tena?
Imekuuma sanaJamaa ni mshamba sana hyu...anauza iman yake tukufu kwa utelezi unaonuka wa malaya mmoja wa mjini.....
Chezea mbususu weye!!!Ikumbukwe kuwa Harmonize ni Muislamu kiimani na Baba yake mzazi ni Ostadhi.
Wapi mnafeli mkuuWamakonde tupo hivyo ila tunafeli sehemu moja tu
Amechagua "miki" dada.Jokes aside, Harmo alivyotoka wasafi alijitahidi sana kupush akafanya vizuri na akaendelea kuwa relevant. Lately amekuwaje? Amepatwa na nini kimuziki......?
Management yake Iliangalie hili, Imsaidie asipoteze focus.
Roho mbaya kiasi kwamba mimi nikitoboa nitahakikisha asiwepo mwingine zaidi yangu ili niogopeke na kuheshimiwa na nikimuona hata ndugu yangu wa tumbo moja anataka kufanikiwa namtia majungu na uchawi mpaka afeli ili nibaki mimi tuWapi mnafeli mkuu
Hii mbaya sana mkuu, ipo kwa makabila mengi sana Tanzania sio Makonde tuRoho mbaya kiasi kwamba mimi nikitoboa nitahakikisha asiwepo mwingine zaidi yangu ili niogopeke na kuheshimiwa na nikimuona hata ndugu yangu wa tumbo moja anataka kufanikiwa namtia majungu na uchawi mpaka afeli ili nibaki mimi tu
Wamakonde tumezidi sanaHii mbaya sana mkuu, ipo kwa makabila mengi sana Tanzania sio Makonde tu
Basi ni hatari mkuu, natamani kuja NtwaraWamakonde tumezidi sana
kwa makanisa haya ya sasa hivi sioni tatizo kwa mtu asiye mkristu kuingia ndani.Penzi kati ya Harmonize na mwanadada Poshy Queen linaendelea ku-make headlines kwenye mitandao ya kijamii.
Harmonize amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost Video akiwa Kanisani na mpenzi wake Poshy Queen.
View attachment 2907938
Ikumbukwe kuwa Harmonize ni Muislamu kiimani na Baba yake mzazi ni Ostadhi.
[emoji3578] Mjanja M1
Karibu sana kakaBasi ni hatari mkuu, natamani kuja Ntwara