Video: Penzi la Poshy lamuingiza Harmonize Kanisani

Video: Penzi la Poshy lamuingiza Harmonize Kanisani

Jokes aside, Harmo alivyotoka wasafi alijitahidi sana kupush akafanya vizuri na akaendelea kuwa relevant. Lately amekuwaje? Amepatwa na nini kimuziki......?

Management yake Iliangalie hili, Imsaidie asipoteze focus.
 
A
Jokes aside, Harmo alivyotoka wasafi alijitahidi sana kupush akafanya vizuri na akaendelea kuwa relevant. Lately amekuwaje? Amepatwa na nini kimuziki......?

Management yake Iliangalie hili, Imsaidie asipoteze focus.
Amechagua "miki" dada.

Nilitaka nipasuke lkn...wajua nakuheshimu😂
 
Wapi mnafeli mkuu
Roho mbaya kiasi kwamba mimi nikitoboa nitahakikisha asiwepo mwingine zaidi yangu ili niogopeke na kuheshimiwa na nikimuona hata ndugu yangu wa tumbo moja anataka kufanikiwa namtia majungu na uchawi mpaka afeli ili nibaki mimi tu
 
Roho mbaya kiasi kwamba mimi nikitoboa nitahakikisha asiwepo mwingine zaidi yangu ili niogopeke na kuheshimiwa na nikimuona hata ndugu yangu wa tumbo moja anataka kufanikiwa namtia majungu na uchawi mpaka afeli ili nibaki mimi tu
Hii mbaya sana mkuu, ipo kwa makabila mengi sana Tanzania sio Makonde tu
 
Huyu kondeboy anataka bakora akili zimkae sawa asirudie hii ya kuburuzwa na mwanamke kanisani
 
Penzi kati ya Harmonize na mwanadada Poshy Queen linaendelea ku-make headlines kwenye mitandao ya kijamii.

Harmonize amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost Video akiwa Kanisani na mpenzi wake Poshy Queen.

View attachment 2907938

Ikumbukwe kuwa Harmonize ni Muislamu kiimani na Baba yake mzazi ni Ostadhi.

[emoji3578] Mjanja M1
kwa makanisa haya ya sasa hivi sioni tatizo kwa mtu asiye mkristu kuingia ndani.

makanisa ya kisasa hayana utukufu, mengi yamenajisiwa na wakristo wenyewe kwa mambo mbalimbali ikiwemo uasherati, ubadhirifu, chuki nk.
 
Ni kawaida Ukiwa unafukuzia mchongo unaingia popote baada ya kukamilisha unachotaka unaanza kukaza
 
Back
Top Bottom