-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
[emoji28][emoji28]Mkuu unayutyubu chanel nisabuskiraibu?
Mbona ni Mshamba tu kwa kila kitu,Sikuwaza kuwa kijana ni mshamba wa mademu kiasi hiki!..
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Wamakonde wote wajinga wa mapenziMara wamakonde malaya mara leo washamba sijui tulishike lipi
Wamakonde wote washamba wa mapenziMara wamakonde malaya mara leo washamba sijui tulishike lipi
fahamu muislamu hakatazwi kuingia kanisani,kwani wakristo ni ahly al kitab,ni marafiki wa kitabuPenzi kati ya Harmonize na mwanadada Poshy Queen linaendelea ku-make headlines kwenye mitandao ya kijamii.
Harmonize amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost Video akiwa Kanisani na mpenzi wake Poshy Queen.
View attachment 2907938
Ikumbukwe kuwa Harmonize ni Muislamu kiimani na Baba yake mzazi ni Ostadhi.
[emoji3578] Mjanja M1
kuingia kanisani sio kuuza imaniJamaa ni mshamba sana hyu...anauza iman yake tukufu kwa utelezi unaonuka wa malaya mmoja wa mjini.....
inawezekana ni limbukeni lakini kuingia kanisani hana kosaHarmonize ni ithibati kuwa unaweza kumtoa mshamba kutoka ushambani lakini abadan huwezi kuutoa ushamba ndani ya mshamba.
Harmonize ni limbukeni wa maisha na mapenzi haijalishi kiasi gani cha pesa atapata ama exposure daima atabaki kuwa mluga mluga.
Enhee.. bwana mi sijaelewa.A
Amechagua "miki" dada.
Nilitaka nipasuke lkn...wajua nakuheshimu😂
Huoni Poshy alivyo na exhaust ndefu dada?😂😂 a.k.a kimulio kirefuEnhee.. bwana mi sijaelewa.
Pia wakristo hawapendi kuolewa na wakristo wenzao ndio maana hujirengesha kwa wanaume wa kiislam wakidai kuwa waislam wanajua kuhudumia mwanamke.Naye ukimchunguza anapenda wakristo mchuguze coz akiwa na muislam mwenzake utaona siku mbili anabwaga , wapo wengi sasa hivi wanagombania mademu wa kikristo na mademu wa kiislam wanalalamika coz ndoa zimekuwa almas kwao ni adimu wengine wanalogana[emoji23][emoji23][emoji23] mfano jux naye hivyo hivyo halafu ukichunguza wakristo wanaowa wakristo wenzao ila waislam wengi hawataki kuowa waislam wenzao chunguza
Mtaalam wa kula kilicholiwaPenzi kati ya Harmonize na mwanadada Poshy Queen linaendelea ku-make headlines kwenye mitandao ya kijamii.
Harmonize amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost Video akiwa Kanisani na mpenzi wake Poshy Queen.
View attachment 2907938
Ikumbukwe kuwa Harmonize ni Muislamu kiimani na Baba yake mzazi ni Ostadhi.
✍️ Mjanja M1
Acha unafiki wewe chunguza utagundua wakristo wanapenda kuowa au kuolewa na wakristo wenzao ila nyie ndio mnaongoza kutaka kuowa wakristo na mbaya zaidi wakristo hukacha mahusiano hayo ingia hata mitandao ya mahusiano fb nk ujionee , utaona wakristo wengi wanatafuta wachumba na kusema wawe wakristo tofauti na nyiePia wakristo hawapendi kuolewa na wakristo wenzao ndio maana hujirengesha kwa wanaume wa kiislam wakidai kuwa waislam wanajua kuhudumia mwanamke.
HahahahaAcha unafiki wewe chunguza utagundua wakristo wanapenda kuowa au kuolewa na wakristo wenzao ila nyie ndio mnaongoza kutaka kuowa wakristo na mbaya zaidi wakristo hukacha mahusiano hayo ingia hata mitandao ya mahusiano fb nk ujionee , utaona wakristo wengi wanatafuta wachumba na kusema wawe wakristo tofauti na nyie
Imani tukufu ya kuabudu mwarabu. Mnaona sifa kuwa waarabuJamaa ni mshamba sana hyu...anauza iman yake tukufu kwa utelezi unaonuka wa malaya mmoja wa mjini.....