Pep siyo mwafrika ni Catalan.Mbona yeye mwenyewe ni mwafrika
Pep siyo mwafrika n catalan.Mbona yeye mwenyewe ni Mwafrika
Ulitaka afanye nini?Inafahamika wazi Pep hapendi Waafrika. Hata Etoo na Yahya Toure walishawahi kulalamika. Sasa hivi Mancity wote wazungu baada ya Gabriel Jesus na Raheem Sterling kuuzwa na Fernandinho kurudi Brazil.
Kitengo hichi kilimuudhi sana Pep hata ukiangalia usoni mwake.
Halafu huyo nigger kiingereza chake bana.
Gringo wa ukaldayoNyie wagerasi acheni shobo.
Hainaga show show, hainaga shobo….. si wanapenda ku-BANG.!!!!Gringo wa ukaldayo
Sijaoja ubaguzi kwenye video.. sometimes -ve perception inaweza kukupotezaMzuka Wanajamvi!
Ukizingatia jamaa hapendi waafrika hili tukio lilimuudhi sana.
Mmatumbi mmoja akiendesha Baiskeli alimuona Pep Guardiola kocha wa Manchester City akiendesha Baiskeli usiku wa manane akashikwa na mihemko na kuanza kumfukuzia kwa nyuma na kumtaka asimame wapige nae picha.
Pep alimaindi sana na kusimamisha Baiskeli na kushangaa jamaa vipi.
Video hapo chini
Mimi ningempa makofi.. maana ni usiku alafu unamuamini vipi mtu ambae humjui?!Huyo jamaa msengerema kweli, watu wako na mambo yao unaleta usumbufu tu
Kocha wa klabu ya soka walinzi wa kazi gani? Wanasiasa ndio wanahitaji walinzi.Ila naye ni mtu maarufu na tajiri kuna haja gani ya kuweka maisha yako hatarini kwa kuendesha baiskeli usiku wa manane bila walinzi.