Mzuka Wanajamvi!
Ukizingatia jamaa hapendi waafrika hili tukio lilimuudhi sana.
Mmatumbi mmoja akiendesha Baiskeli alimuona Pep Guardiola kocha wa Manchester City akiendesha Baiskeli usiku wa manane akashikwa na mihemko na kuanza kumfukuzia kwa nyuma na kumtaka asimame wapige nae picha.
Pep alimaindi sana na kusimamisha Baiskeli na kushangaa jamaa vipi.
Video hapo chini
Ukizingatia jamaa hapendi waafrika hili tukio lilimuudhi sana.
Mmatumbi mmoja akiendesha Baiskeli alimuona Pep Guardiola kocha wa Manchester City akiendesha Baiskeli usiku wa manane akashikwa na mihemko na kuanza kumfukuzia kwa nyuma na kumtaka asimame wapige nae picha.
Pep alimaindi sana na kusimamisha Baiskeli na kushangaa jamaa vipi.
Video hapo chini