Video Picha: Uwanja Mpya wa Michezo Dodoma

Video Picha: Uwanja Mpya wa Michezo Dodoma

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Hivi Kuna Rais amewahi fanya makubwa na kuleta mafanikio kwenye sekta ya Michezo,sana n burudani kumshinda Samia katika historia ya 🇹🇿?

Huwezi Kuta SSH akijigamba ila matokeo kwake ni makubwa sana ,mfano ni kwenye sekta ya ujenzi wa viwanja vya Michezo na -ukarabati.

-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Arusha
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Dodoma
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo KMC
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo Meja Samunyo
-Ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa
-Ukarabati wa uwanja wa Uhuru (Shamba la Babi)
-Ujenzi wa viwanja vya Michezo kwenye Miji na Halmashauri mbalimbali eg Chunya,Moshi,Sengerema,Tunduma, Chalinze nk
-Ukarabati wa viwanja vya Michezo na kufungwa taa eg Nyamagana,CCM Kirumba,Jamhuri,Kaitaba ,Mtibwa Sugar,Mkwakwani,
-Ujenzi wa viwanja vya mapunziko na mazoezi eg Chinangali-Dodoma,Dar,Arusha,Tanga na Chuo Cha Michezo Mallya.

Yaani hivyo ni Baadhi tuu kati ya viwanja vingi ambavyo Profesa wa siasa na Maendeleo SSH ameweka juhudi zake.

Tunampa maua yake angali akiwa hai,kwamba goli la mama limeleta Tija. 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGBCF48ha7B/?igsh=dXNhb3JqM2trbTFq

gersonmsigwa_1739423375183.jpg
gersonmsigwa_1739423375748.jpg
gersonmsigwa_1739423376777.jpg
gersonmsigwa_1739423376443.jpg
gersonmsigwa_1739423375943.jpg
gersonmsigwa_1739423376103.jpg
gersonmsigwa_1739423376282.jpg
gersonmsigwa_1739423376604.jpg


My Take
Samia amegusa Kila sekta na kote amefaniliwa pakubwa,hakuna hata wa kumsogelea ukifanya ulinganisho.

View: https://www.instagram.com/p/DGBSxLkSDVs/?igsh=MXF1Njh4bHlrNG51OQ==
 
Hivi Kuna Rais amewahi fanya makubwa na kuleta mafanikio kwenye sekta ya Michezo,sana n burudani kumshinda Samia katika historia ya 🇹🇿?

Huwezi Kuta SSH akijigamba ila matokeo kwake ni makubwa sana ,mfano ni kwenye sekta ya ujenzi wa viwanja vya Michezo

-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Arusha
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Dodoma
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo KMC
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo Meja Samunyo
-Ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa
-Ukarabati wa uwanja wa Uhuru (Shamba la Babi)
-Ujenzi wa viwanja vya Michezo kwenye Miji na Halmashauri mbalimbali eg Chunya,Moshi,Sengerema,Tunduma nk
-Ukarabati wa viwanja vya Michezo na kufungwa taa eg Nyamagana,CCM Kirumba,Jamhuri,Kaitaba ,Mtibwa Sugar,Mkwakwani,
-Ujenzi wa viwanja vya mapunziko na mazoezi eg Chinangali-Dodoma,Dar,Arusha,Tanga nk

Yaani hivyo ni Baadhi tuu kati ya viwanja vingi ambavyo Profesa wa siasa na Maendeleo SSH ameweka juhudi zake.

Tunampa maua yake angalia akiwa hai 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DF9gdsBITFT/?igsh=MXE0cXo0ZDllbGo2dA==

View: https://www.instagram.com/reel/DF-VZcio4k8/?igsh=MXh3aHN2YmN4MDByMA==

My Take
Samia amegusa Kila sekta na kote amefaniliwa pakubwa,hakuna hata wa kumsogelea ukifanya ulinganisho.

Ukijani hapo around kiwanja ni utapeli.mtupu. pakame.mno dom
 
Hivi Kuna Rais amewahi fanya makubwa na kuleta mafanikio kwenye sekta ya Michezo,sana n burudani kumshinda Samia katika historia ya 🇹🇿?

Huwezi Kuta SSH akijigamba ila matokeo kwake ni makubwa sana ,mfano ni kwenye sekta ya ujenzi wa viwanja vya Michezo

-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Arusha
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Dodoma
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo KMC
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo Meja Samunyo
-Ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa
-Ukarabati wa uwanja wa Uhuru (Shamba la Babi)
-Ujenzi wa viwanja vya Michezo kwenye Miji na Halmashauri mbalimbali eg Chunya,Moshi,Sengerema,Tunduma nk
-Ukarabati wa viwanja vya Michezo na kufungwa taa eg Nyamagana,CCM Kirumba,Jamhuri,Kaitaba ,Mtibwa Sugar,Mkwakwani,
-Ujenzi wa viwanja vya mapunziko na mazoezi eg Chinangali-Dodoma,Dar,Arusha,Tanga nk

Yaani hivyo ni Baadhi tuu kati ya viwanja vingi ambavyo Profesa wa siasa na Maendeleo SSH ameweka juhudi zake.

Tunampa maua yake angalia akiwa hai 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DF9gdsBITFT/?igsh=MXE0cXo0ZDllbGo2dA==

View: https://www.instagram.com/reel/DF-VZcio4k8/?igsh=MXh3aHN2YmN4MDByMA==

My Take
Samia amegusa Kila sekta na kote amefaniliwa pakubwa,hakuna hata wa kumsogelea ukifanya ulinganisho.

Hakuna kama Samia mitano tena
 
..of all necessary priorities katika mji mkuu kiwanja cha mpira ndio kinahitajika sasa..? Maji je..yapo dodoma? Umeme wa dharula ku-back up umeme wa grid upo..? It's peculiar! Kila mahali kujenga..why? ni km kuna syndicate ya money laundering inasimamiwa na mamlaka. Michezo ina mchango gani kwenye uchumi wa nchi hadi kupewa nafasi hiyo kujenga viwanja? We have gone no where si riadha, futball, netball nk..then why wasting resources kwa jambo lisilo na tija kwenu..!
 
..of all necessary priorities katika mji mkuu kiwanja cha mpira ndio kinahitajika sasa..? Maji je..yapo dodoma? Umeme wa dharula ku-back up umeme wa grid upo..? It's peculiar! Kila mahali kujenga..why? ni km kuna syndicate ya money laundering inasimamiwa na mamlaka. Michezo ina mchango gani kwenye uchumi wa nchi hadi kupewa nafasi hiyo kujenga viwanja? We have gone no where si riadha, futball, netball nk..then why wasting resources kwa jambo lisilo na tija kwenu..!
Vyote hivyo viko under construction.By the way uwanja huu ni muhimu Kwa Afcon 2027.

Unateseka sana shida ni gani? 😁😁
 
Afcon kuna timu hapa ya kushindana kuchukua kombe au una maana timu ya wasindikizaji..nchi inapata nini kutoka kwenye mpira?
Dah, haters Sasa mnaelekea kuchanganyikiwa haki ya Mungu. Yaani kabisa jitu lipo jf linaongea huu ujinga.
 
Back
Top Bottom