Video Picha: Uwanja Mpya wa Michezo Dodoma

Video Picha: Uwanja Mpya wa Michezo Dodoma

Hivi Kuna Rais amewahi fanya makubwa na kuleta mafanikio kwenye sekta ya Michezo,sana n burudani kumshinda Samia katika historia ya 🇹🇿?

Huwezi Kuta SSH akijigamba ila matokeo kwake ni makubwa sana ,mfano ni kwenye sekta ya ujenzi wa viwanja vya Michezo na -ukarabati.

-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Arusha
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Dodoma
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo KMC
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo Meja Samunyo
-Ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa
-Ukarabati wa uwanja wa Uhuru (Shamba la Babi)
-Ujenzi wa viwanja vya Michezo kwenye Miji na Halmashauri mbalimbali eg Chunya,Moshi,Sengerema,Tunduma nk
-Ukarabati wa viwanja vya Michezo na kufungwa taa eg Nyamagana,CCM Kirumba,Jamhuri,Kaitaba ,Mtibwa Sugar,Mkwakwani,
-Ujenzi wa viwanja vya mapunziko na mazoezi eg Chinangali-Dodoma,Dar,Arusha,Tanga na Chuo Cha Michezo Mallya.

Yaani hivyo ni Baadhi tuu kati ya viwanja vingi ambavyo Profesa wa siasa na Maendeleo SSH ameweka juhudi zake.

Tunampa maua yake angali akiwa hai,kwamba goli la mama limeleta Tija. 👇👇
View attachment 3234899View attachment 3234900View attachment 3234901View attachment 3234902View attachment 3234903View attachment 3234904View attachment 3234905View attachment 3234906

My Take
Samia amegusa Kila sekta na kote amefaniliwa pakubwa,hakuna hata wa kumsogelea ukifanya ulinganisho.

View: https://www.instagram.com/reel/DF9_uOJMulG/?igsh=MTNmbzZydHR0cGJ2Ng==

Kuweka taa ccm kilumba 😆 😂 🤣 nayo ni maendeleo au umejitahidi kugusa kanda zote kwenye huu mkeka
 

Sasa jamaa yangu ulichotuma ni nini kama sio picha ya conceptual design na sio picha ya uwanja uliojengwa ambao upo?

Picha ya conceptual design inaweza kuwa ya old Trafford, Emirates, Nou Camp, Stade de France au hata Maracana.
 
Masikini Tanzania bandari ya bagamoyo mafisadi waichukua😭😭😭😭😭
 

Attachments

  • 20250213_171101.jpg
    20250213_171101.jpg
    104.5 KB · Views: 2
Sasa jamaa yangu ulichotuma ni nini kama sio picha ya conceptual design na sio picha ya uwanja uliojengwa ambao upo?

Picha ya conceptual design inaweza kuwa ya old Trafford, Emirates, Nou Camp, Stade de France au hata Maracana.
U ngwini unakusumbua. Hizo ni renders za uwanja utakavyokuwa.

Wewe ni mgeni na kazi za kikandarasi? Huwa huoni picha zinawekwa zinazoonesha structure yote kuanzia foundation Hadi itakapokamilika?

View: https://www.instagram.com/p/DGBQT34IpgK/?igsh=NTYwOXFrMzZ3dnpv
 
Hivi Kuna Rais amewahi fanya makubwa na kuleta mafanikio kwenye sekta ya Michezo,sana n burudani kumshinda Samia katika historia ya 🇹🇿?

Huwezi Kuta SSH akijigamba ila matokeo kwake ni makubwa sana ,mfano ni kwenye sekta ya ujenzi wa viwanja vya Michezo na -ukarabati.

-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Arusha
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Dodoma
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo KMC
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo Meja Samunyo
-Ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa
-Ukarabati wa uwanja wa Uhuru (Shamba la Babi)
-Ujenzi wa viwanja vya Michezo kwenye Miji na Halmashauri mbalimbali eg Chunya,Moshi,Sengerema,Tunduma nk
-Ukarabati wa viwanja vya Michezo na kufungwa taa eg Nyamagana,CCM Kirumba,Jamhuri,Kaitaba ,Mtibwa Sugar,Mkwakwani,
-Ujenzi wa viwanja vya mapunziko na mazoezi eg Chinangali-Dodoma,Dar,Arusha,Tanga na Chuo Cha Michezo Mallya.

Yaani hivyo ni Baadhi tuu kati ya viwanja vingi ambavyo Profesa wa siasa na Maendeleo SSH ameweka juhudi zake.

Tunampa maua yake angali akiwa hai,kwamba goli la mama limeleta Tija. 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGBCF48ha7B/?igsh=dXNhb3JqM2trbTFq

View attachment 3234899View attachment 3234900View attachment 3234901View attachment 3234902View attachment 3234903View attachment 3234904View attachment 3234905View attachment 3234906

My Take
Samia amegusa Kila sekta na kote amefaniliwa pakubwa,hakuna hata wa kumsogelea ukifanya ulinganisho.

View: https://www.instagram.com/p/DGBSxLkSDVs/?igsh=MXF1Njh4bHlrNG51OQ==


View: https://www.instagram.com/p/DGBQT34IpgK/?igsh=NTYwOXFrMzZ3dnpv
 
Wengine walikuwa wapi kusimamia na kutekeleza hayo maendeleo?

Ulitaka Rais akifanya vyema atukanwe asisifiwe au? Hater unatapatapa 😁😁

Kwa Samia mtateseka sana yaani Bado.
Walikua ni chama gani si hao mlosema wanafanana na Yesu
 
Samahani wakuu. Nakumbuka enzi za Magu tulitembelewa na na mfalme wa Morocco kama sikosei. Na mfalme aliahidi kujenga uwanja wa mpira hapo Dodoma. Je, uwanja wenyewe ndo huo na sifa anapewa Samia au mfalme alitoa ahadi hewa.

NB: Nime-google na kuipata habari hii. Magu anasema "nimezungumza naye na kumwomba atujengee uwanja... makao makuu..."
 
Back
Top Bottom