ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #61
Dogo ni mom wako.Acha ujinga dogo...
Una fikra za umaskini wa mawazo...
Umesomeka dogo πMimi ni dogo mjinga na my mom ni ni kubwa jinga kwa kunizaa mimi dogo jinga.
Fikra za kijinga ndio nazitaka Sasa so long as ni ujinga mtipu.
Bado sijasema ujinga mwingine nitasema baada ya muamala wa uchawa kusomπ π
View: https://www.instagram.com/reel/DEjWdZ-Iaiw/?igsh=cWt5emY5YWJseHRo
Tutateseka na nini? Ni uwanja kama vile vya dubai nini?Kwa ground nani Yuko vizuri?
Leo sogelea Site Dodoma Kuna Uzinduzi wa Ujenzi
Kwa Samia mtateseka sana.
Pinga Pinga FC π€£π€£ππTutateseka na nini? Ni uwanja kama vile vya dubai nini?
hivi unafikiri sisi ni wageni wa hii nchi? au tumekuja mjini juzi, au hatujawahi kufanya kazi serikalini au na serikali. Mungu ibariki Tanzania.Serikali haifanyi mambo kienyeji kama wewe.
CCM Wana pesa kutoka vyanzo vyao zaidi ya Bilioni 4 Kwa mwaka.
Kuweka taa ccm kilumba π π π€£ nayo ni maendeleo au umejitahidi kugusa kanda zote kwenye huu mkekaHivi Kuna Rais amewahi fanya makubwa na kuleta mafanikio kwenye sekta ya Michezo,sana n burudani kumshinda Samia katika historia ya πΉπΏ?
Huwezi Kuta SSH akijigamba ila matokeo kwake ni makubwa sana ,mfano ni kwenye sekta ya ujenzi wa viwanja vya Michezo na -ukarabati.
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Arusha
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Dodoma
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo KMC
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo Meja Samunyo
-Ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa
-Ukarabati wa uwanja wa Uhuru (Shamba la Babi)
-Ujenzi wa viwanja vya Michezo kwenye Miji na Halmashauri mbalimbali eg Chunya,Moshi,Sengerema,Tunduma nk
-Ukarabati wa viwanja vya Michezo na kufungwa taa eg Nyamagana,CCM Kirumba,Jamhuri,Kaitaba ,Mtibwa Sugar,Mkwakwani,
-Ujenzi wa viwanja vya mapunziko na mazoezi eg Chinangali-Dodoma,Dar,Arusha,Tanga na Chuo Cha Michezo Mallya.
Yaani hivyo ni Baadhi tuu kati ya viwanja vingi ambavyo Profesa wa siasa na Maendeleo SSH ameweka juhudi zake.
Tunampa maua yake angali akiwa hai,kwamba goli la mama limeleta Tija. ππ
View attachment 3234899View attachment 3234900View attachment 3234901View attachment 3234902View attachment 3234903View attachment 3234904View attachment 3234905View attachment 3234906
My Take
Samia amegusa Kila sekta na kote amefaniliwa pakubwa,hakuna hata wa kumsogelea ukifanya ulinganisho.
View: https://www.instagram.com/reel/DF9_uOJMulG/?igsh=MTNmbzZydHR0cGJ2Ng==
Rais mwingine angeamua kunywea bia tu hizo pesaMnavyosifia utafikiri ametoa hizo pesa mkononi mwake
Haterumesema ni PICHA, inaweza kuwa hata picha ya old traffold
Hater
Mpuuzi tu huyo, wenye mawazo kama ya kwake wapo nchi nzima.Vyote hivyo viko under construction.By the way uwanja huu ni muhimu Kwa Afcon 2027.
Unateseka sana shida ni gani? ππ
U ngwini unakusumbua. Hizo ni renders za uwanja utakavyokuwa.Sasa jamaa yangu ulichotuma ni nini kama sio picha ya conceptual design na sio picha ya uwanja uliojengwa ambao upo?
Picha ya conceptual design inaweza kuwa ya old Trafford, Emirates, Nou Camp, Stade de France au hata Maracana.
kuna mpunga mrefu utapigwa hapo kwamba ni hela ya uwanja kumbe ni kampeni za sisiyemu hoyeeee
Hivi Kuna Rais amewahi fanya makubwa na kuleta mafanikio kwenye sekta ya Michezo,sana n burudani kumshinda Samia katika historia ya πΉπΏ?
Huwezi Kuta SSH akijigamba ila matokeo kwake ni makubwa sana ,mfano ni kwenye sekta ya ujenzi wa viwanja vya Michezo na -ukarabati.
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Arusha
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Mpira Dodoma
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo KMC
-Ujenzi wa uwanja Mpya wa Michezo Meja Samunyo
-Ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa
-Ukarabati wa uwanja wa Uhuru (Shamba la Babi)
-Ujenzi wa viwanja vya Michezo kwenye Miji na Halmashauri mbalimbali eg Chunya,Moshi,Sengerema,Tunduma nk
-Ukarabati wa viwanja vya Michezo na kufungwa taa eg Nyamagana,CCM Kirumba,Jamhuri,Kaitaba ,Mtibwa Sugar,Mkwakwani,
-Ujenzi wa viwanja vya mapunziko na mazoezi eg Chinangali-Dodoma,Dar,Arusha,Tanga na Chuo Cha Michezo Mallya.
Yaani hivyo ni Baadhi tuu kati ya viwanja vingi ambavyo Profesa wa siasa na Maendeleo SSH ameweka juhudi zake.
Tunampa maua yake angali akiwa hai,kwamba goli la mama limeleta Tija. ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGBCF48ha7B/?igsh=dXNhb3JqM2trbTFq
View attachment 3234899View attachment 3234900View attachment 3234901View attachment 3234902View attachment 3234903View attachment 3234904View attachment 3234905View attachment 3234906
My Take
Samia amegusa Kila sekta na kote amefaniliwa pakubwa,hakuna hata wa kumsogelea ukifanya ulinganisho.
View: https://www.instagram.com/p/DGBSxLkSDVs/?igsh=MXF1Njh4bHlrNG51OQ==
Pesa ndogo sana hiyo Kwa gharama za viwanja huko Duniani.Yaani uwanja wa watazamaji 32,000 gharama ni bilioni 310? Pesa inatafutwa kwa hamu zote
Walikua ni chama gani si hao mlosema wanafanana na YesuWengine walikuwa wapi kusimamia na kutekeleza hayo maendeleo?
Ulitaka Rais akifanya vyema atukanwe asisifiwe au? Hater unatapatapa ππ
Kwa Samia mtateseka sana yaani Bado.
bilioni 100 hapo inatosha kabisa.Yaani uwanja wa watazamaji 32,000 gharama ni bilioni 310? Pesa inatafutwa kwa hamu zote